miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Mnajifariji sana wavulana. Maneno ya vijana maskini ndo kama hv. Yaan huwaga siwamalizi. Kila mwnaaume amtakaye mchagga ana hela. Kima nyie[emoji23][emoji23] wakati munalelewa majority na hawa wanawake wa kichaggaHahaha mkuu punguza jazba ...mabinti wa kichaga ukiwa huna hela anakuacha ,ukiwa hela anakuua ili abaki na Mali ,ukichepuka akijua anakuua afuu k,hawana time kuitoa kwa uzuri
Haaahaaahaa[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Nilishaambiwa nisioe mwanamke wa kichaga ......huwa ni wasenge sanaa. K hawajui kuiweka vizur ichakatwa ilaaa wana wivu tu na kupenda hela
kweli apo mbaya nafsi yangu nitatumia uwongo wowote lakini kusema nita kuoa alafu kumbe sina mpango huo siwezi kamwe maana nina juwa uchungu wa uongo mkubwa kama huo!Hakuwa Ex huyu ni hawara yake...Mario hamis alikuwa anamchuna anakula hela, pombe na K yake kwa madai atamuoa, kumbe ana mwanamke mwingine na mtoto kashawatambulisha kwao
Sasa kwa kitendo hiki tu peke yake , kama mwanamke alikuwa anakupenda kiukweli ni lazima akuondoe duniani[emoji848]
Umpotezee muda, ule k buure, akuhonge pesa ake ( hela ya mwanamke ni ya kuiacha kama ilivyo maana hustle zao Mungu wao ndo anajua) halafu Mario ukatambulishe k ingine kwenu? Haahaa haa anaona bora mkose wote!
Kwanza kamfanyia huyo mwanamke mwingine kisasi ili amkose huyo mume na kamuua kwa mtindo huu huyo mwanaume kwa kuwa hana nguvu za kupigana nae na hana option nyingine [emoji848]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Historia inawabeba sioKuna rafiki yangu wa kigoma juzi tu kafunga ndoa na mmachame...kiukweli namsikitikia Sana..Mana Hawa watu historia yao Bado inawabeba...[emoji2506]
Umesahau tabia ya wabongo kudanganya umri?
Dah Ulifanyaje ss mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke ukiachana nae achana nae kabsa mazima, maswala ya kurudi rudi matokeo yake ndo haya.
Mimi nishakoma kuna demu Tuliachana lakini mwisho wa siku akaanza kunibembeleza ooh nimekumisi naomba tukutane jamani. Na mimi karoho kakameza mate[emoji16] nilichokutana nacho huko Logde mwanamke akaficha funguo akadai nimlipe pesa kufidia muda aliopoteza kipindi tukiwa katika mahusiano. Dah
Kila bachelor akisikia taarifa hii anaongeza mkataba wa kuwa peke akeKUKAMATWA KWA MTUHUMIWA ALIYEMCHOMA MOTO MPENZI WAKE NDANI YA NYUMBA
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Grace Janes Mushi (25) kwa tuhuma za kumchoma moto ndani ya nyumba aliyekua mpenzi wake aliyefahamika kwa jina la Khamis Abdallah (25).
Tukio hilo limetokea tarehe 16.07.2021 majira ya saa nane na nusu usiku huko maeneo ya Mbezi Makabe kwa Mzungu Wilaya ya Ubungo.
Mtuhumiwa Grace majira hayo ya saa nane usiku aliamka na kumfungia mlango kwa nje Khamis Abdallah kisha kumwagia mafuta ya petroli nyumba hiyo, kitendo kilichopelekea Khamisi kuungua na kufariki dunia akiwa ndani.
Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa kimapenzi.
Imetolewa na :-
MULIRO J.MULIRO- ACP
KAMANDA WA POLISI,
KANDA MAALUM,
DAR ES SALAAM
unge mwambia manaaza upya kwa mapenzi matamu kuliko ya njiwa na Adamu na hawa!Mwanamke ukiachana nae achana nae kabsa mazima, maswala ya kurudi rudi matokeo yake ndo haya.
Mimi nishakoma kuna demu Tuliachana lakini mwisho wa siku akaanza kunibembeleza ooh nimekumisi naomba tukutane jamani. Na mimi karoho kakameza mate[emoji16] nilichokutana nacho huko Logde mwanamke akaficha funguo akadai nimlipe pesa kufidia muda aliopoteza kipindi tukiwa katika mahusiano. Dah
Mkuu kuna wanawake wenye akili mbovu wakisoma hii comment wanafanya kweli. Unatuharibia nyumba wengine π€£ π€£ π€£Wanaume hawafadhiliki, mwanaume hapewi hela, mwanaume anapewa k na kuombwa hela....hata uwe na milioni na ye ana elfu kumi omba hela, tena legeza jicho beba elfu kumi yote.
Mwamba kaamia ukweni kabisa πππ hii ndio imenikata maini yani! Kimsingi Marehemu amezingua sana RIP[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dar wavulana nao wamezid
Kupenda kitonga jaman
Ngoja na mm nifanye research hapa kinondoniSinza yoote ikifuatiwa na kinondoni..mi nimeishi sinza na nikamegewa hii siri nikaanza kufanya kautafiti...ni noma sana[emoji848]
Hahahah nimecheka sana maninarKaskazini Fc. Sasa usiombee ukutane na kaskazini Fc alafu ina handicap ukaioa. Mungu jaalia uwehata unavinyumba viwili umejenga, miaka 6 utoboi. Labda wote muwe team moja kaskazini fc
Mtuvumirie jamani ile ni necha tu ~ aliskika chakalamu mmoja wa jeiefuWanaume hawafadhiliki, mwanaume hapewi hela, mwanaume anapewa k na kuombwa hela....hata uwe na milioni na ye ana elfu kumi omba hela, tena legeza jicho beba elfu kumi yote.
Kapelekewa moto ππ π Na ile Prado anayouzia sura ukute ya Neema π π π wale wazee wa 45β degrees ni bora uoe kabisa jamani ujue unalelewa kwa haki! Sio unamenya halafu unahangaika hangaika nje utakuja ufe!!!Ndiyo alikuwa anaishi kwa Neema nyumba ya Familia yao.. Imagine...Then anamletea mambo ya ajabu hadi kuzaa na Mwanamke mwingine..
Huyo Bwana Kinyozi huo moto kautaka mwenyewe.
Anajiita nani insta?[emoji23][emoji23]Kapelekewa moto [emoji23][emoji28][emoji28] Na ile Prado anayouzia sura ukute ya Neema [emoji28][emoji28][emoji28] wale wazee wa 45β degrees ni bora uoe kabisa jamani ujue unalelewa kwa haki!
Big baby and small bebi mjengoni[emoji13] unaenda kazini wao wanacheza playstation uliompa zawadi siku ya harusi!
Hahahah sijui hata ila ile picha iliosambaa ya huyo hamis kigwanyozi inaonekana kashikilia uskani wa prado diamond!Anajiita nani insta?[emoji23][emoji23]
ππ + sijui kwani hawa jiulizi ndio hao hao Dada zetu wa kichaga wanao olewa ndoa za maana kila siku hapa town!Mnajifariji sana wavulana. Maneno ya vijana maskini ndo kama hv. Yaan huwaga siwamalizi. Kila mwnaaume amtakaye mchagga ana hela. Kima nyie[emoji23][emoji23] wakati munalelewa majority na hawa wanawake wa kichagga