Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

Kapelekewa moto [emoji23][emoji28][emoji28] Na ile Prado anayouzia sura ukute ya Neema [emoji28][emoji28][emoji28] wale wazee wa 45’ degrees ni bora uoe kabisa jamani ujue unalelewa kwa haki! Sio unamenya halafu unahangaika hangaika nje utakuja ufe!!!

Big baby and small bebi mjengoni[emoji13] unaenda kazini wao wanacheza playstation uliompa zawadi siku ya harusi!
Wee.. alikua anatembelea na prado tena? Lazima ni la neema tu. Ila jaman gari langu halaf hiyo sehem ya siti ya abiria mbele ukalishe mahawara zako... kitawaka
 
Tunaongea kama utani ila kifo cha moto ni kibaya sana. Marehemu ameteseka sana mpaka anakufa. Inatia huzuni mno. Tujifunze kuzimudu hasira zetu [emoji17]
Ni kweli ila ni kosa kubwa sana kumtapeli mtu kimapenzi na kumuumiza kihisia zake! Hali ya kipesa ni ngumu mtu anajaribu kuspend hela yake na wewe af unaleta mambo ya kijinga
 
Si ni bora umelala yooh baba umelala huku ukiwa umekula mbususu?[emoji23][emoji23]

Hivi wadah hili neno la mbususu limetokea wapi? Nini source ya hili neno...[emoji23][emoji23] its very funny
Kuchakata is not an issue anymore siku hizi, tunatamani kuishi hadi uzeeni. Kama mkichokana achaneni mambo ya kuchomana visu, moto au sumu ni ujinga tu!!

Mimi sio mjuvi wa haya maneno, Ila naamini yanatokea humu jf haya maneno.
 
[emoji23][emoji23] + sijui kwani hawa jiulizi ndio hao hao Dada zetu wa kichaga wanao olewa ndoa za maana kila siku hapa town!
ndoa nyoofu
Ndio ndio[emoji23][emoji23] wanataka maboya wawaendeshe ovyo. Haiwezekani. Tukifikia mipaka yetu ya uvumilivu huwa ni yente yente tu. Petrol waaah. Daily tunaolewa ila nashangaa mashambulizi ya maneno kibao. Haisaidii
 
Asee ni ukatili wa kutisha[emoji22]

Na k alimpa usiku haahaahaa ila wanawake bana!

Haya ndo malipo ya usaliti[emoji848]
Usaliti una price kubwa sana hasa ukimsaliti mtu ambaye alipambana by 100% kuwa innocent kwako
 
There you are darling [emoji122][emoji122]

Ina maana huyo marioo alikuwa anaishi kwenye nyumba ya akina neema? Mbona hili jamaa ni sengee hivo yaan ni kitonga PROMAX[emoji849][emoji849][emoji134]

Halafu lilivyo lifala eti lina mwanamke mwingine na mtoto na gharama hapo ni juu ya Neema na Neema akajua![emoji849]

Huyu katafuta kifo mwenyewe

Deeboyfrexh
Amelipwa kutokana na usaliti wake
 
Kuchakata is not an issue anymore siku hizi, tunatamani kuishi hadi uzeeni. Kama mkichokana achaneni mambo ya kuchomana visu, moto au sumu ni ujinga tu!!

Mimi sio mjuvi wa haya maneno, Ila naamini yanatokea humu jf haya maneno.
Tatizo la wanaume huwa hampendi kujiona wakosefu. Munapenda kujipa umungu mtu sana. Source ya majority ya matatizo ya kindoa wanaume mnahusika. Wanawake wavumilivu sana. Ijapokua hatuwezi kufanana ktk reaction ya matukio tunayotendewa nanyi. Neema kaua, mimi ningeondoka mazima, mwingine angeendelea kuvumilia, mwingine angechepuka etc. Kila mtu na utashi na uvumilivu wake. Ila wanawake tunabeba mengi sana vifuani mwetu. Tunabeba lawama nyingi sana juu yenu. Jitahidini muishi kwa akili na sisi. Tuna huruna sana lkn tunapokosea ni wabaya sana
 
Na kuna makabila yameoa wachaga na wanaishi raha mustarehe. Chasaka mujipange. Sio wachaga wote ni wabaya, wapo wengi ni waungwana
Wachaga ambao hawana mambo ya hovyo ni wale ambao familia zao zimejengeka kiimani na wazee wako na mawe ya kutosha!

Ila wale ambao mama yuko mtaa wa 3 anauza kilabu cha pombe! Baba hajulikani alipo hapo sio pa kusogeza pua! Wazazi washashindwana watoto wakike wa familia hizo wanakuwaga na stress sana na sumu mbaya sana dhidi ya wanaume, huyu ukiwa nae anataka akumiliki kama property yake yani tena usiombe akawa ana uchumi kukuzidi!

Harusi ambazo nyingi wazee wa kichaga wanaozesha wakiwa na wake zao watoto wanakuwaga freshi sana! Watoto malezi yako proper unaona kabisa mtoto anampenda sana baba yake ujue hapo mke umepata!
 
Hahahaha dharau sana
Hakuna kitu kinauma kama mali yako ndo iwe fimbo ya kukuchapia. Naogopa sana. Yaan unaona ni jinsi gani watu huanza ubinafsi. Wanaume wengi hujibrag wako na uwezo ila majority munawekwa na wanawake. Mwanamke akikupenda hata kujiuza anaweza enda jiuza akusaidie jambo lako. Yaan atajilipua kwa namna yoyote ile. Sasa pata picha maumivu aliyoyayapata halafu kweli alichokusaidia ndo kiwe fimbo kweli ya kumuumiza? Kila saa madrammar kumbe kuna mahali unahamishia? Ndo maana unakuta wengine wanafanya kisiri kama kujenga na vibiashara kwa mambo kama haya. Naogopa am gonna be one of them. Unashangaa umeteseka weee mmeshaoana maisha yanaendelea mara unaachwa kitu kipya kineingia. Mauaji hayatoisha
 
Ndio ndio[emoji23][emoji23] wanataka maboya wawaendeshe ovyo. Haiwezekani. Tukifikia mipaka yetu ya uvumilivu huwa ni yente yente tu. Petrol waaah. Daily tunaolewa ila nashangaa mashambulizi ya maneno kibao. Haisaidii
Sisi kaka zenu tuna sema pambaneni
mnatupa heshima kubwa sana apa town na nje ya mipaka!
wata chonga sana juu yenu ila mpo juu nasema mtu akiwa wadanganya mtaishi kama mume na mke milele akaenda kinyume na amesha kula pesa zenu mwageni mboga na ugali toboa na sifuria
 
Sisi kaka zenu tuna sema pambaneni
mnatupa heshima kubwa sana apa town na nje ya mipaka!
wata chonga sana juu yenu ila mpo juu nasema mtu akiwa wadanganya mtaishi kama mume na mke milele akaenda kinyume na amesha kula pesa zenu mwageni mboga na ugali toboa na sifuria

Meku umetisha
 
Sisi kaka zenu tuna sema pambaneni
mnatupa heshima kubwa sana apa town na nje ya mipaka!
wata chonga sana juu yenu ila mpo juu nasema mtu akiwa wadanganya mtaishi kama mume na mke milele akaenda kinyume na amesha kula pesa zenu mwageni mboga na ugali toboa na sifuria
Ewaaaaa[emoji23][emoji23]
Tuwamalizeee... wanatuponda humu na haya ma ID ila live mtaani tunasumbuliwa nao hawa hawa.
 
Wachaga ambao hawana mambo ya hovyo ni wale ambao familia zao zimejengeka kiimani na wazee wako na mawe ya kutosha!

Ila wale ambao mama yuko mtaa wa 3 anauza kilabu cha pombe! Baba hajulikani alipo hapo sio pa kusogeza pua! Wazazi washashindwana watoto wakike wa familia hizo wanakuwaga na stress sana na sumu mbaya sana dhidi ya wanaume, huyu ukiwa nae anataka akumiliki kama property yake yani tena usiombe akawa ana uchumi kukuzidi!

Harusi ambazo nyingi wazee wa kichaga wanaozesha wakiwa na wake zao watoto wanakuwaga freshi sana! Watoto malezi yako proper unaona kabisa mtoto anampenda sana baba yake ujue hapo mke umepata!
Nakupa mia kabisa. Usiombee kuoa mchanga kwao baba aliachana na mama kaishi na malezi ya mama tu alafu hata nyumba hawana hadi unamuoa mama yake amepanga. Hapo tegemea kufa mapema.
 
Meku umetisha
😂😂 wana pora pesa za Dada zetu wana weka bando wanakuja kuwatukana huku kwenye mitandao mkuu!
wanyooshwe tu!
Dada zetu wapole sana ila wana pewa sifa mbaya za uwongo!
mbaya zaidi wana wadanganya na kuwa geuza Dada zetu ATM za bure
 
Dah kama jamaa alimuahidi ndoa kisha akawa anamchuna basi amelipia utapeli wake wa mapenzi!

Mwanamke akiwa amependa seriously anaji sacrifice kwa lolote kuhakikisha furaha yako tu ila ukizingua maamuzi wanayochukuaga kila mmoja ana ya aina yake ila best yangu cariha anaweza kukunyoosha ana hasira sana 😂😂😂! Huyo mwanamke amewekeza apate kuolewa na HB wake Hamisi Kinyozi halafu kinyozi analeta mambo ya kitoto bana!

Huwezi kumchuna mtu miaka na miaka anakupa maisha halafu kumbe humpendi mie pia nakufanya kitu mbaya aisee naweza nisikudhuru ila ntakutia hasara tu ambayo itakuuma!
Miaka ya themanini yupo rafiki yangu alimhadaa mpalestina kuwa atamuoa. Miaka ikaenda jamaa anafaidi pasipo kutekeleza ahadi. Siku ya siku jamaa kakaa mezani anasubiri chai ya asubuhi. Yule binti kachukua sufuria ya maji ya moto akammiminia jamaa usoni. Jamaa uso ukaiva na binti akatokomea kusikojulikana. Please keep your promise or never give a false promise.
 
[emoji23][emoji23] wana pora pesa za Dada zetu wana weka bando wanakuja kuwatukana huku kwenye mitandao mkuu!
wanyooshwe tu!
Dada zetu wapole sana ila wana pewa sifa mbaya za uwongo!
mbaya zaidi wana wadanganya na kuwa geuza Dada zetu ATM za bure

[emoji23][emoji23] waambie dada zako nao wapunguze kupenda penda na kuhonga . Sasa mwanamke unamuhongaje mwanaume pesa? Si akatafute zake [emoji3]. But wadada wa kichaga wako poa sana labda uwazingue tu vinginevyo ni watafutaji na wana upendo wa dhati
 
Back
Top Bottom