fanyeni linalo wezekana ata kuwa minya naniluu!Ewaaaaa[emoji23][emoji23]
Tuwamalizeee... wanatuponda humu na haya ma ID ila live mtaani tunasumbuliwa nao hawa hawa.
Hapana, siyo kuhonga. Nakataa. Partner wako ana shida. Na hiyo shida iko ndani ya uwezo wako. We help. Lakini majority huchukulia for granted. And yes, tunapenda sana. Tuna upendo ulioshiba kwani tumelelewa kwa upendo. Mambo yakija tofauti ndo matokeo kama haya. Sisi tuna huruma sana na tunajali ila ukajisahau ukakanyaga break utapajua mikese vzr[emoji23][emoji23] waambie dada zako nao wapunguze kupenda penda na kuhonga . Sasa mwanamke unamuhongaje mwanaume pesa? Si akatafute zake [emoji3]. But wadada wa kichaga wako poa sana labda uwazingue tu vinginevyo ni watafutaji na wana upendo wa dhati
Dah hivi unaanzaje kumletea ufala mwanamke anaeuza makongoro 😅 sometimes unaweza ukafa kwa kutaka!Aaah yeah...huyo marioo itakuwa kaazima tu kwa washikaji apige picha
Yule demu hana Prado kimtazamo wangu lkn
Si nasikia alikuwa anauza makongoro [emoji848]
Inawezekana siyo wote mkuu......zinaweza kuwa tabia binafsi.Nanyi hamsikii, utaoaje mchaga? Yale Ni mauaji makatili linapokuja suala la pesa. Na Wala so mapenzi, wachaga hawana mapenzi, Ni pesa
Daah[emoji23][emoji23][emoji23] uwuuiii, makongoro tena?? Hii hela si inauma kufa? Yaan kifaida cha supu halaf bado ukahonge? NakuuaaaaaaAaah yeah...huyo marioo itakuwa kaazima tu kwa washikaji apige picha
Yule demu hana Prado kimtazamo wangu lkn
Si nasikia alikuwa anauza makongoro [emoji848]
Mkuu kuna wanawake wenye akili mbovu wakisoma hii comment wanafanya kweli. Unatuharibia nyumba wengine 🤣 🤣 🤣
Ha ha ha ndiyooo. Wapuuzi hawafanyeni linalo wezekana ata kuwa minya naniluu!
Liwalo na liweee ! wajipange na wawe na adabu na pesa zenu na mahusiano! wakija wana jidai wametuzidi kaka zenu kwenye mapenzi!!
Eti adi wanasaidia kubeba adi pochi eti Mama , dia, Baby,
Pochi umeweka vitu vingi sana nikusaidie ita kuumiza bega !
kumbe wana tafuta ATM ya bure!
We fala unaungana na dada zako acha ujinga!😅fanyeni linalo wezekana ata kuwa minya naniluu!
Liwalo na liweee ! wajipange na wawe na adabu na pesa zenu na mahusiano! wakija wana jidai wametuzidi kaka zenu kwenye mapenzi!!
Eti adi wanasaidia kubeba adi pochi eti Mama , dia, Baby,
Pochi umeweka vitu vingi sana nikusaidie ita kuumiza bega !
kumbe wana tafuta ATM ya bure!
Haha hahahaDah hivi unaanzaje kumletea ufala mwanamke anaeuza makongoro [emoji28] sometimes unaweza ukafa kwa kutaka!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daah[emoji23][emoji23][emoji23] uwuuiii, makongoro tena?? Hii hela si inauma kufa? Yaan kifaida cha supu halaf bado ukahonge? Nakuuaaaaaa
Aisee yani mtu hela anaipata kwa kuungua vidole na supu na makuni kila alfajiri!Haha hahaha
Jamaa alijilipua si kitoto
Dah hivi unaanzaje kumletea ufala mwanamke anaeuza makongoro [emoji28] sometimes unaweza ukafa kwa kutaka!
Huu msiba ni funzo kwa vijana wote walamba lips na wazee wa 45’ angle! Aka Kitownga na NgaiHalafu bado unakula hela yake [emoji848]
sikuwa na nia ya kucoment.Na sina mpango wa kuoa magogo mutawaoa wenyewe, kwanza wana ukanda sn ukiona mwanamke wa huko kaolewa na kabila ingine kuna kitu kafata .
Nimeona huko pia kumbe zungu alikua na tabia ya kuwatongoza na kutembea na marafiki zake neema. Aisee. Haivumiliki maumivu yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lijikaka kama lijikaka hahahaa. Ikiwezekana anzisha huduma ya kusupply petrol hadi home....Sisi kaka zenu tuna sema pambaneni
mnatupa heshima kubwa sana apa town na nje ya mipaka!
wata chonga sana juu yenu ila mpo juu nasema mtu akiwa wadanganya mtaishi kama mume na mke milele akaenda kinyume na amesha kula pesa zenu mwageni mboga na ugali toboa na sifuria
Acha kufagilia ujinga wee mchaga, au na wewe ni mpalestina.....unaongea kana kwamba wanawake wa makabila yote wana hivyo visasi vya kinyama.....Huyo ndo mwanamke akizidiwa sasa...
Mpaka kuona kafikia hatua hii ujue huyo jamaa alimfanyia vitu visivyoelezeka[emoji848]kiasi kwamba mwanaume hawezi kuvumilia!
Sasa hiyo ya kuua kikatili ni moja, kisasi kingine kibaya zaidi ya hiki huwa wanakifanya na wanaume hata hawajastukia[emoji849][emoji848] BAK unakumbuka ile mada ya visasi tuliizungumzia kwa uzi wa "I missed my wife" ni just mchana wa jana tulikuwa tukiongelea haya we ukaleta blah blah za sijui kisasi cha mwanamke ni kugongwa nje ovyo ovyo, of course atafanya hiyo, lkn bado moyo wake unakuwa haujaridhika! Mojawapo ya visasi vikubwa na vya kikatili ni kama hilo la petrol na kuna lingine tena kuubwa baba lao [emoji16][emoji16]
BAK
Huwa mnatulaumu mapoti huku Mara kwamba tunapiga wake zetu.......haya sasa, mwanamke lazima awekewe discipline mapema kiasi kwamba hata kukusogelea au kukuuliza jambo awe anajifikiria mara mbili....Siku hizi hata mwanamke ukimkosea ukiona yupo kimyaa lazima upate wengeee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tena wa machame aiseee inabdi uwataarifu na familia yako mapema.
Mimi ni mpalestina ndio unasemaje sasa?Acha kufagilia ujinga wee mchaga, au na wewe ni mpalestina.....unaongea kana kwamba wanawake wa makabila yote wana hivyo visasi vya kinyama.....
Huyu marioo alizidi khaa[emoji848]Nimeona huko pia kumbe zungu alikua na tabia ya kuwatongoza na kutembea na marafiki zake neema. Aisee. Haivumiliki maumivu yake