Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

Ewaaaaa[emoji23][emoji23]
Tuwamalizeee... wanatuponda humu na haya ma ID ila live mtaani tunasumbuliwa nao hawa hawa.
fanyeni linalo wezekana ata kuwa minya naniluu!
Liwalo na liweee ! wajipange na wawe na adabu na pesa zenu na mahusiano! wakija wana jidai wametuzidi kaka zenu kwenye mapenzi!!
Eti adi wanasaidia kubeba adi pochi eti Mama , dia, Baby,
Pochi umeweka vitu vingi sana nikusaidie ita kuumiza bega !
kumbe wana tafuta ATM ya bure!
 
Hapana, siyo kuhonga. Nakataa. Partner wako ana shida. Na hiyo shida iko ndani ya uwezo wako. We help. Lakini majority huchukulia for granted. And yes, tunapenda sana. Tuna upendo ulioshiba kwani tumelelewa kwa upendo. Mambo yakija tofauti ndo matokeo kama haya. Sisi tuna huruma sana na tunajali ila ukajisahau ukakanyaga break utapajua mikese vzr
 
Ha ha ha ndiyooo. Wapuuzi hawa
 
We fala unaungana na dada zako acha ujinga!😅

Tutaendelea kuwabokoa kama ilivyo ada kwa sababu wanavyovipenda vipo huko sio kwenu wanywa double kick na Konyagi! SHEMEJI kaa kwa kutulia basi!
 
Na sina mpango wa kuoa magogo mutawaoa wenyewe, kwanza wana ukanda sn ukiona mwanamke wa huko kaolewa na kabila ingine kuna kitu kafata .
sikuwa na nia ya kucoment.

ndugu zangu sisi wachagaa tunapendaa palipo na kitu na ukiwa na hicho kitu, kazi ya pili ni kwa jinsi gan tukipate!!

take it to the bank (brain).
 
Lijikaka kama lijikaka hahahaa. Ikiwezekana anzisha huduma ya kusupply petrol hadi home....
 
Acha kufagilia ujinga wee mchaga, au na wewe ni mpalestina.....unaongea kana kwamba wanawake wa makabila yote wana hivyo visasi vya kinyama.....
 
Siku hizi hata mwanamke ukimkosea ukiona yupo kimyaa lazima upate wengeee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tena wa machame aiseee inabdi uwataarifu na familia yako mapema.
Huwa mnatulaumu mapoti huku Mara kwamba tunapiga wake zetu.......haya sasa, mwanamke lazima awekewe discipline mapema kiasi kwamba hata kukusogelea au kukuuliza jambo awe anajifikiria mara mbili....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…