Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

Mkuu rikiboy auliwaa kisa mapenzii[emoji3][emoji3][emoji3] hapana haya masiharaa kumbe beib anachukulia serious ngoja niache
We demu unamringishia una mwanamke mwengine unataka umuoe wakati amejisacrifice kwa ajili yako!
Halafu siku anakualika na ulivyo boya unaenda kabisa kulala kwake 😂😂😂
 
Kwani Mario hawana kazi?...si ni ile tabia ya kupenda ukitonga[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]

Hela zake anajipodoa, scrubbing na viwalo
Hahahahah mambo ya “alee sherii kitonga na ngae” unachekelea vest na boxer na kupewa hela ya kodi 😂😂😂 it wiri cost you!
 
We demu unamringishia una mwanamke mwengine unataka umuoe wakati amejisacrifice kwa ajili yako!
Halafu siku anakualika na ulivyo boya unaenda kabisa kulala kwake [emoji23][emoji23][emoji23]
Kupenda K za buure[emoji16][emoji1787][emoji1787]

Kumbe unafata kiberiti haahaahaa
 
Sasa nani ndo aolewe na wewe[emoji706]
 
Kupenda K za buure[emoji16][emoji1787][emoji1787]

Kumbe unafata kiberiti haahaahaa
K ya mpenzi wako haina price Tag sababu after a long while anakuwa kama mke tu japo hamna legal binding!

You smash it whenever you feel like sababu mko kwenye relationship contract wala huwezi iita K ya bure.You are both enjoying the binding!

K za bure ni za mahawara zinazolokotwa njiani huko kwa offer za chips mayai!
 
Hapo unakuta Mwanaume kamfanyia vituko vimefika mwisho....Na Isitoshe unaambiwa Alikuwa anaishi kwenye nyumba ya familia ya Kina Neema..

Ikumbukwe kwamba..Mwanamke kwenye kisasi Shetani mwenyewe huwa anakaa pembeni anashangaa...
 
Wachaga bana
 
Kibaya zaidi unakula na vitu vyake[emoji16][emoji16][emoji1787]
Hili ndilo kosa alilofanya waziri mtenguliwa wa wizara ya vinyozi Hamisi Kigwa Nyozi aka Zungu!

Ukila vya mtu uwe na uhakika hamtaachana until further notice from Sir God! Otherwise contract iwe wazi kuwa sisi tunapunguzana Fats miilini mwetu kwa mazoezi ya vikojoleo tu
 
Hapo unakuta Mwanaume kamfanyia vituko vimefika mwisho....Na Isitoshe unaambiwa Alikuwa anaishi kwenye nyumba ya familia ya Kina Neema..

Ikumbukwe kwamba..Mwanamke kwenye kisasi Shetani mwenyewe huwa anakaa pembeni anashangaa...
Yani jamaa alikuwa anapewa hifadhi na demu wake kabisa kwao?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…