Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

Bora tuwaambie wapone bana wengi wameuliwa kimya kimya Kuna dada nilikutana naye akasema mume wake ana msumbua alimtaftia sumu Ina mkula taratibu na kalazwa muhimbili anajifia. Mapenzi ni hatari Sana mapicha yakizidi zidi heri mutengane hata kwa mda
Mungu wangu[emoji134]

Wanawake wanaua mno

Abortions + husbands
 
Isome hii comment ya cariha vizuri ina madini ya kutosha, hii siri sikutaka kuisema ila huyu cariha kaitaja hapa

Wanaume wengi sana wanauliwa kwa sumu ya pole pole, kimya kimya..

Wamama wa Sinza ndo vinara wa huu mchezo[emoji22][emoji848]

Ni balaa

Atiiii [emoji101]
 
Kwa anayempenda hata siku moja halalamiki mambo ni magumu na anaoambana kweli apate ampe anayempenda ila kwkao asiyekupenda each day ni malalamiko ya shida tu ili ujiongeze umpe. Hawaimbagi mara nyingi kwakua anajua unampenda utapambana kuda umpe. Ukimpa ndo inakua fimbo ya kukuchapia kwa ampendaye. Naandaa gas mimi [emoji23][emoji23]
Na limwanaume lisilokupa hela la nini?

Si bora ubaki na mbususu yako tu[emoji848]

Ukiona anakunyima wewe ujue anampa anayempenda
 
Back
Top Bottom