Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Urais haufi...jiwe kafufuka
Umeishia darasa la ngapi ?Bawacha wameona mbali.. hawakutaka yawakute yaliyomkuta Mdude. Fikiria ukamatwe leo ijumaa ukalale selo mpaka j3, huku mke wa Mbowe akilala kwake na mume wake bila bughuza yoyote. Ni bora wamejiongeza kwa kukataa kutumiwa kama daraja la mwenyekiti na makamu wake.
Mno mnoMama anaupiga mwingi sanaaa 😂😂😂
Tatizo lenu mnapenda sana siasa za MAPAMBANO "tug of war" na vitisho 🤣🤣Asije kumlilia mtu
Kama hii ni kweli kama inavyoripotiwa hapa basi nitajua ni wazi kabisa kwamba viongozi wa CCM ni kizazi cha nyoka.Jana Lissu alisema Mwendazake amekufa lakini waliokua wakimsaidia kutesa na kuumiza watu hawajafa. Bado wapo. Wanaweza kuwa wameficha makucha tu kwa muda lakini wakishamsoma mama, watarudi tu.
Na hiki ndicho kilichotokea. Polisi wenye silaha wamezingira ukumbi wa Hekima Garden, Mikocheni kuzuia hafla ya chakula cha jioni iliyoandiwa na Baraza la wanawake la Chadema (BAWACHA).
Iko hivi, Bawacha wameandaa hafla ya kuwakutanisha wanawake wa Chadema kubadilishana mawazo na kuzungumza mambo yao kama akina mama.
Wakaandika barua kwa Mkurugenzi kumpa taarifa. Lakini Mkurugenzi akasema wapeleke maombi yao kwa DC. Wakapeleka barua kwa DC Gondwe. Katika hali ya kushangaza Gondwe eti nae akaagiza barua ipelekwe kwa RC. Yani danadana zisizo na ulazima wowote. Yani akina mama kukaa na kula kuku zao hadi RC atoe ruhusa?
Anyway, barua ikapelekwa kwa RC lakini Makalla akaingia mitini. Hataki kujibu. Baada ya kusumbuliwa sana akaagiza waende kwa RPC Kinondoni. RPC kaagiza waende kwa OCD Oysterbay. OCD akaruhusu hafla ifanyike kwa masharti yafuatayo;
1. Pasiwepo na mziki.
2. Pasiwepo na pombe.
3. Hafla ifanyike kwa dakika 30 tu.
4. Askari waingie ukumbini kusikiliza wanachojadili.
5. Wakimaliza kula watawanyike haraka.
Wanawake wa BAWACHA wamegomea masharti hayo, wanataka wawe huru kufanya mambo yao.
#MyTake;
Mama kemea hawa watu watakuharibia sasa hivi. Hawa akina mama ni wanawake wenzako. Wameamua kukaa, kula na kujadili mambo yao. Kwanini wananyanyaswa? Mwendazake aliwabagua watu kwa vyama vyao. Wapinzani wakawa mistreated kama vile magaidi. Wakapigwa, wakateswa na kunyanyaswa bila sababu.
Wewe ulianza vizuri kwa kuliunganisha taifa. Ukaahidi kuganga makovu yetu. Ukasema tusahau yaliyopita na tufute machozi. Lakini badala ya kutufuta machozi, mbona watu wako wameanza kutuletea machozi tena? Tafadhali wakemee. Jana tumefanya kongamano zuri la Katiba, na dunia imekupongeza kwa sababu polisi hawakutusumbua. Lakini leo hawa akina mama wanasumbuliwa? What happened?
Remember , What goes around comes aroundUrais haufi...
🤣🤣Polisi nao wanazidi muwachekea, piga rungu hao watawanyike kwa nguvu
Swali hili ungemuuliza Sugu ambae nilisoma nae.Umeishia darasa la ngapi ?
RBC ndugu yangu unaweka visasi moyoni eee?!!Remember , What goes around comes around
Hii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo .
Ikumbukwe kwamba BAWACHA waliandaa hafla yao ya halali Mikocheni na kupeleka taarifa kwa DED kama sheria zinavyoelekeza , jambo ambalo limeiogopesha Mamlaka ya Tanzania .
Bawacha wamegoma kuendesha kongamano lao chini ya pingu za polisi .
View attachment 1838235
Wamemfufua wenyewe Chademajiwe kafufuka
Mkuu kazi ya POLISI ni miongoni mwa hizo kaka.....Polisi nao sometime kama wehu ,sasa kikao cha bawacha wanaongelea mambo yao wanawahofia nini? Kama watu wanakata kuongea mambo ya uhasi wangefanyia hadharani? waachane wajifurahishe ,kuzuia zuia mambo kama hayo yanarudisha uchumi nyuma ,ebu fikiria ajira za wanaokodisha viti ,ajira za wapambaji ,fikiria vinywaji vitakavyouzwa,mafuta ya magari au ubber ,bajaji etc
Wazee wa SIASA za matukio tena....
Kuna wakati mnawalaumu tu POLISI....
Kuna kitu leo nishee hapa....
Hivi mnajua kuwa KUIJENGA NCHI NA KUISIMAMISHA NI KAZI SANA ZAIDI YA KUIBOMOA?!!!
Nchi inasimamiwa na Serikali iliyoko madarakani....
Na Serikali yoyote ile duniani Ni lazima IOGOPE machafuko/mapinduzi kwa FAIDA YA NCHI ,watu wake na VIONGOZI WA HIYO SERIKALI....
Sasa huwa tunawalaumu sana Polisi wa hizi nchi zetu za Afrika wakati mwingine KIHISIA TU.....
Hebu tufikiri hivi.....
Ni juzi tu mh.Mbowe AMENG'AKA MNO.....aliyoyaongea jukwaani ni "alarming point" kwa SERIKALI yoyote hata ingekuwa ni ya CHADEMA....
Baada ya "kung'aka kwake" yakafuata matamko ndani na nje ya nchi....haswa kutoka kwa mh.Tundu Lissu kuwa ,kuhusu KATIBA MPYA ni lazima ipatikane kwa HERI AMA KWA SHARI ....so put yourself in that position....would you let things going without putting your nose on it?!!!
TUTAFAKARI JAMA.....
POLISI WAKO SAHIHI NANYI BAWACHA....2 months ago ,BAWACHA from LAKE ZONE wanted to demonstrate in Dodoma against Speaker's decision on "Covid-19 members of parliament's" before cancelling their gathering following Police's ban.....
Jamani jama ,NCHI HA ZIENDESHWI KILIBERALI eti tu kwa kuwa Kuna UHURU WA VYAMA VYA UPINZANI...UHURU WA KUKUSANYIKA.....
#KaziIendelee
Si kweli kwamba serikali zote zinafanya hivyo. Nimeishi nchi 6 tofauti, na ni moja tu kati hizo niliona serikali ni onevu kama hii ya CCM. Watu wengi wanaishi kwenye mazingira huru. Tanzania kwenyewe utawala wa Mwalimu na wa Mwinyi ulikuwa hauna uozo huu wa uonevu.Ni jana tu mh.Tundu Lissu amemfananisha mh.Rais Samia SH na hayati Magufuli....kwa KEBEHI NA KEDI amemuita "she is a female JPM".....
Hayo maneno yalifuatia vile VITISHO NA JAZBA aliyoipandisha mh.Mbowe pale ukumbini.....then leo BAWACHA wanakutana........mmmh hapa lazima uwe na WASIWASI.....hata kama BAWACHA wanakutana tu kwa Mambo yao.....
Ikumbukwe Serikali zote zinafanya hayo.....
FunzAWazee wa SIASA za matukio tena....
Kuna wakati mnawalaumu tu POLISI....
Kuna kitu leo nishee hapa....
Hivi mnajua kuwa KUIJENGA NCHI NA KUISIMAMISHA NI KAZI SANA ZAIDI YA KUIBOMOA?!!!
Nchi inasimamiwa na Serikali iliyoko madarakani....
Na Serikali yoyote ile duniani Ni lazima IOGOPE machafuko/mapinduzi kwa FAIDA YA NCHI ,watu wake na VIONGOZI WA HIYO SERIKALI....
Sasa huwa tunawalaumu sana Polisi wa hizi nchi zetu za Afrika wakati mwingine KIHISIA TU.....
Hebu tufikiri hivi.....
Ni juzi tu mh.Mbowe AMENG'AKA MNO.....aliyoyaongea jukwaani ni "alarming point" kwa SERIKALI yoyote hata ingekuwa ni ya CHADEMA....
Baada ya "kung'aka kwake" yakafuata matamko ndani na nje ya nchi....haswa kutoka kwa mh.Tundu Lissu kuwa ,kuhusu KATIBA MPYA ni lazima ipatikane kwa HERI AMA KWA SHARI ....so put yourself in that position....would you let things going without putting your nose on it?!!!
TUTAFAKARI JAMA.....
POLISI WAKO SAHIHI NANYI BAWACHA....2 months ago ,BAWACHA from LAKE ZONE wanted to demonstrate in Dodoma against Speaker's decision on "Covid-19 members of parliament's" before cancelling their gathering following Police's ban.....
Jamani jama ,NCHI HA ZIENDESHWI KILIBERALI eti tu kwa kuwa Kuna UHURU WA VYAMA VYA UPINZANI...UHURU WA KUKUSANYIKA.....
#KaziIendelee
Mkuu binafsi sifurahii mateso ya YEYOTE....Ukiona unafurahia mateso ya wenzio, jua Shetani anafanya kazi ndani yako.
Mkuu kazi ya POLISI ni miongoni mwa hizo kaka.....
Jana MBOWE AMENG'AKA kwa JAZBA KALI....
Akafuatiwa na Mh.Tundu Lissu kwa KUMSHAMBULIA RAIS na kumfananisha na hayati JPM Kikebehi na Kedi tele....
Leo BAWACHA wanakutana...
Hata ingekuwa wewe ndiye AFANDE MULIRO....usingetaka KUUNGANISHA DOTS na KUANTICIPATE yajayo ?!!!
anaupiga mwingi mnooTunakushukuru kwa Taarifa iliyonyooka