Uchaguzi 2020 Dar: Helkopta ya Kampeni ya Tundu Lissu, yanyimwa kibali cha kutumia anga, ni baada ya kuomba kibali hapo jana

Kumbe kibali walikuwa nacho
 

Attachments

  • 2514840_20200910_200044.jpg
    200.1 KB · Views: 1
Majibu
 

Attachments

  • 2514840_20200910_200044.jpg
    200.1 KB · Views: 1
Sema saccos haina pesa bado wanasubiri ile 25% walioahidiwa na mabeberu ndiyo maana wameshindwa kuweka mabango!
 
haki itendeke kwa wagombea wote , kama ambavyo mgombea wenu habughudhiwi , kwa chochote akifanyacho , mfano pishapu , kupiga ngoma za bendi, kucheza mziki , kuwa na wanamziki , na vyombo vya habari kumkava yeye ,hivyo na wagombea wengine waachwe wafanye kampeni kwa raha zao , hasa chadema ,mnaisumbua sana why, so kama anakunywa soda baridi huko chato bahada ya kazi ngum ya kampeni, ni vizuri na nimpe pole , ila chokochoko kwa upande wa wagombea weza kiti cha urais zikomeshwe mara moja ,
 
Swali ni Je siku zote hiyo helicopter ilikuwa inarushwa na rubani gani???? Kama ndo huyo huyo Kwa nini siku nyingine wanekuwa wakimruhusu???
Jaribu kuelewa hapa Tanzania Rubani haruhusiwi kuendesha ndege akizidi miaka 65 ndiyo TAA Regulation zinasema hivyo ndiyo maana hao wamiliki wa Helcopiter ilibidi waombe waiver hivyo haijawahi kuendeshwa na Rubani wa miaka zaidi ya 65. By the way TZ marubani wa kiraia ni wengi sana wasiozidi miaka 65 nasikia Saccos hawajalipa pesa ndiyo maana walimiki wa Helcopitet wameanza kupiga chenga!
 
Tatizo saccos hawajalipa advance ya kukodi Helcopiter ndiyo maana wamiliki wa ndege wanapiga chenga!
 
kimbunga lissu 2020 , ni mashine ya mjerumani , siku moja tu ikiwashwa , inasaga kila kitu kinakua unga , upepo wake ukipita tu usipo jifunga taulo vizuri utashutuka imekwapuliwa, na mtu katupwa kule , kikipuliza kinapangua first eleven yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…