AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Lazima ifikie hatua tuburuzane tu ili kuokoa taifa🤣Mkuu,
Kiongozi wa kufanya maamuzi hayo ataitwa majina mengi DIKTETA, MPINGA HUMANITY E.t.c
😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima ifikie hatua tuburuzane tu ili kuokoa taifa🤣Mkuu,
Kiongozi wa kufanya maamuzi hayo ataitwa majina mengi DIKTETA, MPINGA HUMANITY E.t.c
😅😅😅
Yaani wakinga//wachaga huku kwetu wakipenda eneo lako wananunua eneo na mwenye eneo,Asante Kwa kutambua makabila yaliyo mbele ya muda[emoji28][emoji28]
Emoj zimeenda shule,. Nilitaka na mie ninunue kwa afu hamsini.Emoji zako zime enda wapi[emoji1], Sasa 2009, uli taka viga de bei hiyo tu[emoji1787]
Tatizo hapo lipo wapi mkuu,Kitu kilichonishangaza ni kua kuna watu wamezaliwa dar na kukua dar ila mwisho wao wa kutembea ni Morogoro na chole. Wengine hadi wanakua watu wazima hawajawahi fika chalinze/moro
🤣🤣Wazazi wame enda kuishi kwa wazazi wao😄😄🤒.
Mie hapo sioni cha ajabu cha msingi ni wazazi wenyewe wameridhia kijana azeekee kwao basi!Habari zenu,
Mjanja M1 nimeona maeneo mengi Dar vijana wenye umri mkubwa miaka 30 na kuendelea wakiishi kwa wazazi wao na wengine kuzalia makwao.
Kautafiti kangu kamegundua zaidi kuwa kuna wanaume waliooa pia ambao wanaishi na wake zao kwenye nyumba za wazazi wao.
Vijana wengi wa Dar wameshakata tamaa ya kujenga makazi yao binafsi, wengi wanategemea cha wazazi eg. Nyumba, Magari n.k
Utafiti wangu pia umegundua kuwa kuna vijana wanaojitegemea lakini maisha yao hayapo vizuri kwani kesho yao imekuwa ngumu kueleweka, na mara nyingi utakuta kijana anaishi kwenye nyumba za kupanga na bado kodi ya pango inamsumbua kulipia.
Vijana hawa wenye umri mkubwa hawana future iliyobora maana kuna uwezekano kwenye uzee wao wakawa wanaishi maisha ya tabu kwa kukosa makazi yao binafsi.
USHAURI - NAOMBA SERIKALI IONGEZE NAFASI ZA AJIRA KWA VIJANA, NA PIA IONDOE VIKWAZO VINGI KWA WANAOFANYA BIASHARA.
NB. HUU NI UTAFITI WANGU KAMA MJANJA M1, KAMA UTAUPINGA BASI UTAKUWA SAHIHI PIA.
Written by Mjanja M1.
Inatagia hali ya familia ya kwenu. Waarabu, Wahindi na Wapemba wana utamaduni wa ndugu wengi kukaa pamoja katika nyumba au compound moja.Upo sahihi, lakini kama una familia au mtoto inakupasa uwe na kwako.