Dar inaongoza vijana watu wazima kuishi kwa wazazi wao

Kitu kilichonishangaza ni kua kuna watu wamezaliwa dar na kukua dar ila mwisho wao wa kutembea ni Morogoro na chole. Wengine hadi wanakua watu wazima hawajawahi fika chalinze/moro
Tatizo hapo lipo wapi mkuu,

Ni nchi gani dunia hii au eneo gani unatamani kulitembelea. Je eneo hilo au nchi hiyo unadhani kinacho kukwamisha kutembelea huko hivi sasa ni nini?
 
Yesu mpaka anafika miaka 30 alikiwa anakaa kwao na muda mwingi alikuwa anatembea na mama ake na kila anapoenda mama anamfata watu wa mikoani mko obsessed sana Dar sijui mna matatizo gani
Wee na Yesu nani mwenye akili
 
Mie hapo sioni cha ajabu cha msingi ni wazazi wenyewe wameridhia kijana azeekee kwao basi!
Kama Yesu mwenyewe mpaka leo bado yuko kwa babake iweje kwa kijana wa Dar?
 
Upo sahihi, lakini kama una familia au mtoto inakupasa uwe na kwako.
Inatagia hali ya familia ya kwenu. Waarabu, Wahindi na Wapemba wana utamaduni wa ndugu wengi kukaa pamoja katika nyumba au compound moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…