Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Wabongo tuna ujasiri kwenye keyboards tu, live ni mioga kuliko kunguru. Mtu anatekwa hadharani na haipigi hata yowe...
 

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Kwani uyo jmaa alotaka kutekwa ni nani ? Ana status gani ?
 

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
 

Attachments

  • 354506.jpg
    354506.jpg
    14.5 KB · Views: 1

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Hili tukio linafunua uwezo halisi wa watu wa kisiwa cha kusadikika. Halafu kuna watu wanaota mabadiliko🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Watanganyika watu wa ajabu kweli, mtu anaomba msaada nisaidieni hakuna hata mmoja anaejitokeza, wanamuangalia tu.
 
Daah asa kama watekaji wenyewe ndio Hawa mbona kama uyo chaliii tu..Yani ana anguka anguka😁😁...Sasa migahawa wiki hii itaingiza faida sana..maana napata picha watu watakavokula kwa sana Ili wanenepe wasiweze kuingia kwenye gari.....
 
Ila tusiache fanya hvyo maan tutafichukua mengine.
Hiyo haisaidii mkuu.

Sativa alisema gari aliyopandishwa ilikuwa na namba za usajili kama za SA na haikusimamishwa check point yoyote.

Hiyo picha hapo eti ndio CCTV footage ya gari iliyomteka Mohamed Dewji.

Hivi akili za polisi wa Tanzania unaona ziko sawa kweli?
images (2).jpeg
 
H
Yawezekana kabisa kutokana na dhana kwamba usanii walipa pengine watu walidhani wasaniii walikuwa kazini.

Kumbe kiuhalisia mtu atekwa hadharani. Pia kuna jamaa hapo kapita tu bila hata kuangalia kinoendelea.

Mzee Ali Kibao (RIP)alitekwa kutoka kwenye basi na abiria wengine wakiwa hawana cha kufanya na kwenda kuteswa kisha kuuawa.
huyu jamaa aliyepita ndiyo aliyesema Hoya Kuna nini ndiyo jamaa wakamiachia wakafanya haraka kuondoka
 
Hawakutumia Akili ktk zoezi lao, sitaki kuamini kwamba hawa wametumwa na vyombo fulani fulani ambavyo vipo well trained.

Gari si rafiki, pia approach ya kumchukua si rafiki pia... Nafkiri Mwenyezi Mungu pia alipanga jambo hili lisifanikiwe.
 
Daah asa kama watekaji wenyewe ndio Hawa mbona kama uyo chaliii tu..Yani ana anguka anguka😁😁...Sasa migahawa wiki hii itaingiza faida sana..maana napata picha watu watakavokula kwa sana Ili wanenepe wasiweze kuingia kwenye gari.....
Kwa watekaji wale mimi wala sihitaji msaada wa mtu yeyote ningewakalisha mapema tu.

Huyo jamaa ni ubonge tu umemuokoa, lakini angekuwa bonge halafu yuko fit angewatandika wote, sijaona mtu fit katika hao watekaji, kama hicho kitoto kilichotangulia kwenye gari ni kama kishoga fulani tu kimelegea.
 
Tusishabikie kila kitu nakubpost pamoja na makosa mengine uhalifu umekuwa mkubwa sana kwa kiwango cha kutisha huko mbeleni watu watapigwa risasi live sitaki kuamini huyu ni mtu wakisiasa lazima atakuwa kuna jambo anafanya na walikuwa wana msaka.
Nje ya siasa uhalifu dhidi ya Taifa lako ni jambo la hatari kwa maisha yako. Mama mkanye mwanao mama mkanye mwanao.
Mkuu!

Sikatai lakini wahusika Wamefanya tukio hili Kwa malengo maalum kabisa la kutia hofu au kutuma ujumbe fulani!

Mi naamini vyombo vyetu vya intelligence vina uwezo wa kufanya matukio kama haha bila kuacha alama za kutia hofu na taharuki kwa jamii kama walivyofanya hao jamaa!!

Wangeweza kutumia process ambayo ni safe zaidi kuliko walivyofanya!
 
Back
Top Bottom