Uchaguzi 2020 Dar: Jeshi la Polisi lasitisha wito wake kwa Tundu Lissu, lamtaka aendelee na Kampeni zake

sio ubora kama unavyotaka tuamini.
Hakuna nilipoongelea ubora wala kulinganisha na maendeleo ya Misri, nimesema hii sio Misri wala Tunisia hii ni Tanzania.. Nimeunganisha mambo mengi mpaka kusema hivyo Ila sijayataja.
 
Wananchi wenye busara wamewashauri polisi kuachana na Lisu kwakua uu uchaguzi amesha shindwa kwaiyo anatafuta pa kuangushia lawama.
Huu Sasa ndo upinzani,sio ule wa kuzungusha mikono juuu
 
Wananchi wenye busara wamewashauri polisi kuachana na Lisu kwakua uu uchaguzi amesha shindwa kwaiyo anatafuta pa kuangushia lawama.
Jaribu nawewe kuisumbua polis kiasi hiki alafu wananchi wenye busara washauri kuachana nawew uone km polisi watakubali ushauri huo.. LISSU hayupo peke yake, ni mtego mkubwa kwa nchi, hata baada ya uchaguzi. Labda wamuue
 
Lissu kama Simba aliejeruhiwa. Maumivu aliyopitia hayamtishi na chochote.
 
Jaribu nawewe kuisumbua polis kiasi hiki alafu wananchi wenye busara washauri kuachana nawew uone km polisi watakubali ushauri huo.. LISSU hayupo peke yake, ni mtego mkubwa kwa nchi, hata baada ya uchaguzi. Labda wamuue
Na wasithubutu kumuuwa ndio watadakwa faster na watashitakiwa na kunyongwa wooote
 
Wananchi wenye busara wamewashauri polisi kuachana na Lisu kwakua uu uchaguzi amesha shindwa kwaiyo anatafuta pa kuangushia lawama.
Jeshi la polisi na wananchi khs lissu¿
 
Wameona maji yameshazidi unga .......... Mzee with underlying conditions atakuwa yuko tabaani kwa mahasira yake!!
 
sio ishu ila utaulizwa mamlaka ya kutangaza fulani ni mjinga umeyatoa wapi??

Mjinga ana jidhihirisha kwa maneno yake na vitendo vyake katika jambo lolote ,ukifanya jambo lenye kupendeza utapata Sifa njema.
 
Mjinga ana jidhihirisha kwa maneno yake na vitendo vyake katika jambo lolote ,ukifanya jambo lenye kupendeza utapata Sifa njema.

ok bado siku 26 mkuu.

mambo ya kutamka fulani mjinga nk,ni kuchagua upande wa kushindwa.
 
Hahahahhaha, dah jamaa kawashika pabaya
 
mkuu aliambiwa akaripoti dar au hukuisoma barua ya kwanza??

ok barua iliandikwa kwa chadema,lissu alijibu kama nani??

yaani polisi hawajui sheria na lissu ana kiwewe.
Lissu hakujibu barua bali amereact kwa wito wa Sirro kwenye vyombo vya habari na barua aliyoandikiwa!!
 
Hakuna nilipoongelea ubora wala kulinganisha na maendeleo ya Misri, nimesema hii sio Misri wala Tunisia hii ni Tanzania.. Nimeunganisha mambo mengi mpaka kusema hivyo Ila sijayataja.

Mmmh.
 
Mpka sasa nina nadharia mbili:

1. Si ajabu mkaja kusikia mambosasa akiyakana maneno yake ( agizo kutoka juu) kuhusu kusitisha tamko la kumuita lissu.

2. Mambosasa akatumbuliwa within 72hrs.
 
Mkuu aliambiwa akaripoti dar au hukuisoma barua ya kwanza??

Ok barua iliandikwa kwa chadema,lissu alijibu kama nani??

Yaani polisi hawajui sheria na lissu ana kiwewe.
Ambacho hujagundua wewe ndio una kiwewe
 
Kwa siku hizi kumi tu kwa Tundu Lissu, toka tume ya uchaguzi na jeshi la polisi kuingilia kampeni zake, imenibidi nisome maandiko haya matakatifu:

Yesu Aulizwa Kuhusu Mamlaka Yake
27 Wakafika tena Yerusalemu. Wakati Yesu alipokuwa akitem bea Hekaluni, makuhani wakuu, walimu wa sheria pamoja na wazee wakamjia 28 wakamwuliza, “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?

Na ni nani aliyekupa mamlaka hayo?”

29 Yesu akawajibu, “Nitawauliza swali mmoja. Mkinijibu, mimi pia nitawaeleza ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya. 30 Niambieni, mamlaka aliyotumia Yohana kubatiza watu, yalitoka kwa Mungu au kwa watu?”

31 Wakaanza kubishana, “Tukisema, ‘Yalitoka kwa Mungu’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’ 32 Je, tunaweza kusema ‘Yali toka kwa watu’? - Waliogopa watu kwa sababu kila mtu aliamini kwamba Yohana Mbatizaji alikuwa nabii. 33 Kwa hiyo wakamjibu, “Hatujui.” Na Yesu akawaambia, “Mimi pia sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…