Uchaguzi 2020 Dar: Jeshi la Polisi lasitisha wito wake kwa Tundu Lissu, lamtaka aendelee na Kampeni zake

Kwahiyo akishinda kwenye sanduku la kura ni kupindua meza?Je,walioamua kumpa kura wakikataa na kuamua kufanya maamuzi ya nguvu ya umma,mtaweza kuzuia uamuzi wa wananchi?Libya system yao iliwaambiaje?Misri?Algeria?Kenya?Burundi?Leo wale waliokuwa madarakani na kutumia hizo systems wapo?
Kama mmeichoka amani basi zuieni sanduku la kura lisiongee!
 
Reactions: BAK
Na huo ndo ukweli. Tundu Antiphas Lissu ndo Raisi wako wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025
 
Mpaka sasa Lissu kawazidi akili mno na tunaanzisha vuguvugu la kumng'oa Sirro bila huruma yoyote , ametia aibu Jeshi la Polisi , IGP mzima huwezi kutumwa na mtu kama Polepole
Binafsi sina la nyongeza zaidi ya kukueleza kuwa ' Navalny ni binadamu pia Lissu ni mtu! '
 
Kongole mkuu
 
Nani katukana?

Sisi tunamsema huyu kibaraka anaetaka urais ambae wakati wenzake tunapigania kujitoa kwenye makucha yao yeye yuko busy kuturudisha nyuma.
Unapigana kujitoa kwenye makucha au kujenga uwanja wa ndege chato???
 
Kwa hio hata huyu anayesema anapinga mafisadi inawezekana hata yeye baadae ikagundulika ni bonge la fisadi sio?
Petro ata Tembea yake ilionekana ni 'mwanafunzi wa Yesu'. Mpime mtu kwa anachokisema na kwa anachokitenda...mwanzo mwisho! Usipime ukaishia katikati!
 
Polisi mmeonesha weledi wa hali ya juu...hatutaki mtu alete visingizio,uchaguzi huu Lisu ndio atajua CCM ndio Dingi wa siasa za nchi hii.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Mwaka huu ndo mwisho wa Ccm kutawala Tanzania. Mark my words
 
Kumlinganisha Lissu na Navanly.
Uzuri siku hizi ni rahisi sana kuwatambua akina 'Navanly' popote walipo. Kwa sababu wanaotengeneza akina 'Navanly' wanatumia kitabu kile kile na sana sana zaidi huwa wanabadili rangi ya 'jarada' la kitabu hicho.
 
Aisee, Kama na kiunzi hiki Lisu amekiruka basi nadiriki kusema Jamaa ameshashindikana.
CCM kila kukicha inahangaika kujibu hoja za Lisu,
Tume imemshindwa kuhusu hoja ya kumuunga mkono mgombea wa chama kingine,
Polisi wametumia mabomu ya machozi lakini watu wanaonyesha kutoyaogopa wananawa maji kisha wanamsalimia Lisu na mgombea mwenza,
IGP anatoa amri kumbe haijakidhi mahitaji ya kisheria, nahisi kunakitu MUNGU amempangia huyu mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…