Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Boss nae hakukagua, kaipitisha tuLabda wale wa Mama wa kutype ndiyo wamekosea, maana wanakuwaga ni watu wazima kidogo,hasa wengi utawakuta kwenye office za Serekali,na wengi wao ndiyo vitengo vyao,hapo unakuta Mmama watu kawekewa mabarua karibu hamsini ya kutype,hapo ni mwendo wa kubuuluza tu!!
Wewe jamaa ni li zuzu Sana humu jamvini hivi akili zako hua unahifadhi wapi?hapa pia polisi watakuwa wamembambika wapate hela.
Hilo ni Moja ya lizee jinga humu jamviní Kila kitu linaweka Siasa hata Kwenye mambo serious!Una utani wa ngumi na wanasiasa uchwara wa hapa mitandaoni eeeh...[emoji848][emoji38]
Wamama wengi ndiyo huwa wanaharibu mitoto yao mingi ya kiume, tena ukilikuta ndiyo last born ndiyo shida kabisa jinsi linavyodekezwa na Mama yake hadi linazeeka Kama Mama yake yupo hai sau,Mara nyingi mitoto ya aina hii akili zao huwarudi baada ya Mama kufa, maana wanabaki na Jamii ambayo haiwezi kubaliana na Ujinga wake,kwa hiyo anajua lazima atanyooshwa hata Kama ikibidi kwa mkono wa Chuma, atanyooshwa tu!!Miaka 26 bado mzazi anamlisha n kumpelekea chakula chumbani,umri huo ni kulelewa wazazi ndio wanajitakia na kuleta matatizo kwenye jamii zetu...mimi 22 tu nko napambana n hom nlishahama
Sure dogo hatakuwa na hela akienda December kwao anasemwa Sana. Akadanganywa na mganga atatoka polisi pasipo kukusudia.hapa pia polisi watakuwa wamembambika wapate hela.
22 ulichelewa Sana mkuu.Miaka 26 bado mzazi anamlisha n kumpelekea chakula chumbani,umri huo ni kulelewa wazazi ndio wanajitakia na kuleta matatizo kwenye jamii zetu...mimi 22 tu nko napambana n hom nlishahama
Acheni kusingizia bangi na pombe, jitathimini kwenye malezi yenu toka Watoto wakiwa wadogo! Mzazi ukifeli nafasi yako lazima lawama utazipeleka huko kwa pombe na bangi!!Bangi na pombe huwa havichanywi.
Kama mtuhumiwa ana akiri timamu, hakuna namna yoyote ile angekuwa na haki ya kumuua mama yake.Too quick to judge. Subiri usikie na story ya upande wa pili ili uweze ku balance judgement.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linamshikilia Julius Mzava (26) Mkazi wa eneo la usalama Chang’ombe Wilaya ya Temeke kwa tuhuma za kumuua mama yake mzazi aliyefahamika kwa jina la Magdalena Peter (56) kwa kumchoma kisu sehemu ya mwili wake.
Tukio hili limetokea tarehe 08/10/2021 saa 1:05 usiku eneo la Sandali Chang’ombe wakati marehemu(Magdalena Peter) alipoiingia chumbani kwa mtoto wake Julius Masawe(mtuhumiwa) kwa nia ya kumpa chakula na hapo ndipo aliposhambuliwa kwa kisu eneo la mwili wake akapata majeraha makubwa yaliyopelekea kupoteza kwa maisha yake licha ya jitihada za kumpeleka hospitali kufanyika.
Mtuhumiwa Julius Masawe (mtoto wa marehemu) amekamatwa, anahojiwa kwa kina na atafikishwa mahakamani kama sehemu ya hatua muhimu za kisheria.
Katika hatua nyingine, Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata na linawashikilia watu watano(5) kwa tuhuma za kujihusisha na wizi wa vifaa vya magari na kupokea vifaa/vipuri vya magari vya wizi.
Watuhumiwa hao walikamatwa na vifaa mbalimbali vya magari zikiwemo taa za magari aina ya Toyota IST na milango ya magari ya aina mbalimbali.
Aidha, vitu mbalimbali vilivyokuwa vimeibiwa na wahalifu kwenye matukio mbalimbali ya uvunjaji vimekamatwa katika kituo cha Polisi Goba yakiwemo majenereta zaidi ya 25,vifaa mbalimbali vya ujenzi na mitungi ya gesi 10.
MULIRO J. MULIRO
KAMANDA WA POLISI
KANDA MAALUM DAR ES SALAAM
Una uhakika?Nilisikia kuwa ukichanja unakuwa zombie. Mimi nimechanja ni miezi miwili sasa bado sija transform.
Mie mwenyewe nimechoka kabisaYaani Official Police Statement ndio wameshindwa kujua jina la Mtuhumiwa? Huku ni Julius Mzava huku para nyingine anatajwa Julius Masawe! Duh
Matunda ya di4 ya point 30 hayo.Yaani Official Police Statement ndio wameshindwa kujua jina la Mtuhumiwa? Huku ni Julius Mzava huku para nyingine anatajwa Julius Masawe! Duh
mara Julius mzava ,mara Julius masaweJeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linamshikilia Julius Mzava (26) Mkazi wa eneo la usalama Chang’ombe Wilaya ya Temeke kwa tuhuma za kumuua mama yake mzazi aliyefahamika kwa jina la Magdalena Peter (56) kwa kumchoma kisu sehemu ya mwili wake.
Tukio hili limetokea tarehe 08/10/2021 saa 1:05 usiku eneo la Sandali Chang’ombe wakati marehemu(Magdalena Peter) alipoiingia chumbani kwa mtoto wake Julius Masawe(mtuhumiwa) kwa nia ya kumpa chakula na hapo ndipo aliposhambuliwa kwa kisu eneo la mwili wake akapata majeraha makubwa yaliyopelekea kupoteza kwa maisha yake licha ya jitihada za kumpeleka hospitali kufanyika.
Mtuhumiwa Julius Masawe (mtoto wa marehemu) amekamatwa, anahojiwa kwa kina na atafikishwa mahakamani kama sehemu ya hatua muhimu za kisheria.
Katika hatua nyingine, Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata na linawashikilia watu watano(5) kwa tuhuma za kujihusisha na wizi wa vifaa vya magari na kupokea vifaa/vipuri vya magari vya wizi.
Watuhumiwa hao walikamatwa na vifaa mbalimbali vya magari zikiwemo taa za magari aina ya Toyota IST na milango ya magari ya aina mbalimbali.
Aidha, vitu mbalimbali vilivyokuwa vimeibiwa na wahalifu kwenye matukio mbalimbali ya uvunjaji vimekamatwa katika kituo cha Polisi Goba yakiwemo majenereta zaidi ya 25,vifaa mbalimbali vya ujenzi na mitungi ya gesi 10.
MULIRO J. MULIRO
KAMANDA WA POLISI
KANDA MAALUM DAR ES SALAAM