Dar: Kijana mbaroni kwa kumuua mama yake mzazi

Boss nae hakukagua, kaipitisha tu
 
Miaka 26 bado mzazi anamlisha n kumpelekea chakula chumbani,umri huo ni kulelewa wazazi ndio wanajitakia na kuleta matatizo kwenye jamii zetu...mimi 22 tu nko napambana n hom nlishahama
 
Miaka 26 bado mzazi anamlisha n kumpelekea chakula chumbani,umri huo ni kulelewa wazazi ndio wanajitakia na kuleta matatizo kwenye jamii zetu...mimi 22 tu nko napambana n hom nlishahama
Wamama wengi ndiyo huwa wanaharibu mitoto yao mingi ya kiume, tena ukilikuta ndiyo last born ndiyo shida kabisa jinsi linavyodekezwa na Mama yake hadi linazeeka Kama Mama yake yupo hai sau,Mara nyingi mitoto ya aina hii akili zao huwarudi baada ya Mama kufa, maana wanabaki na Jamii ambayo haiwezi kubaliana na Ujinga wake,kwa hiyo anajua lazima atanyooshwa hata Kama ikibidi kwa mkono wa Chuma, atanyooshwa tu!!
 
hapa pia polisi watakuwa wamembambika wapate hela.
Sure dogo hatakuwa na hela akienda December kwao anasemwa Sana. Akadanganywa na mganga atatoka polisi pasipo kukusudia.
Afu ndani ya mwaka atakuwa bilionea atakuja kujisifu kuwa sie ni watafutaji ni matajiri.
Bila hata kujisemea tunajua ni matajiri na Wana wasomi wengi,shule ni nyingi huko kuliko kwingineko tz Ila bado ushirikina wananunua kwa gharama zozote zile.
 
Miaka 26 bado mzazi anamlisha n kumpelekea chakula chumbani,umri huo ni kulelewa wazazi ndio wanajitakia na kuleta matatizo kwenye jamii zetu...mimi 22 tu nko napambana n hom nlishahama
22 ulichelewa Sana mkuu.
Kuna huyu tajiri mwenye magari ya bestline alitoka kwao akiwa na 12yrs old.alipofikisha miaka 16 tayari anamiliki gari lake la kwanza.
Wenzako wanaanza kutoka home wakiwa around 17-19 akichelewa Sana ni 20.
Ulidekezwa Sana mkuu
 
Habari yako inaulakini.....au sijui Hawa ma journalists Wana soma vyuo gani?mwanzo jina Julias mzava....katikati ya story Ni julias masawe,majina mawili tofauti?story haijajibu maswali ya 5w and 1h.....
 
Mbona mwanzoni umesema Julias Mzava....afu katkat ya mada unasema Julias Masawe
 
 
Ndo madhara ya kutafuta watoto kwa waganga
 
wafuasi wa kibwetele wamechachamaa, kama ukifanikiwa kuuona ujumbe huu basi nakuomba kibwetele wa genk uje ubadili mitazamo ya wafuasi wako,kijana 26 years bado anagonga nguna kwa mama ,kwa kweli mawazo yako yamepelekea kinywa chako kitulishe maneno ya ovyo yaliyotukaa vichwani mwetu
 
Hapa kuna namna.
Mtoto apelekewe msosi chumbani Kisha amchome kisu aliyemletea chakula!!
 
mara Julius mzava ,mara Julius masawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…