Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
kajiangalie upya kwenye kiooNilisikia kuwa ukichanja unakuwa zombie. Mimi nimechanja ni miezi miwili sasa bado sija transform.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kajiangalie upya kwenye kiooNilisikia kuwa ukichanja unakuwa zombie. Mimi nimechanja ni miezi miwili sasa bado sija transform.
Yap! 22 yrs uko vizuri kijana wangu Hongera - Kazi iendelee.Miaka 26 bado mzazi anamlisha n kumpelekea chakula chumbani,umri huo ni kulelewa wazazi ndio wanajitakia na kuleta matatizo kwenye jamii zetu...mimi 22 tu nko napambana n hom nlishahama
Vimekamatwa katika kituo cha Poilsi!!!! wenzangu mmepaelewa hapo!!!?Aidha, vitu mbalimbali vilivyokuwa vimeibiwa na wahalifu kwenye matukio mbalimbali ya uvunjaji vimekamatwa katika kituo cha Polisi Goba yakiwemo majenereta zaidi ya 25,vifaa mbalimbali vya ujenzi na mitungi ya gesi 10.