Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Vijana ACHENI Hangaika na hawa Waschana wadogo.
Wana mambo mengi vichwan!!!.
Kaschana kadogooo, alafu hata hakasali wala kuswali unategemea nn??
Bora umchukue Mwanamke aliyekua umri na akili....UKAPATE NDOA ISOKUA NA STRESS !!!.
Unabeba kaschana kana miaka 25 , kuja kutulia akili, maana yake umetumia miaka 10 ,kuvumilia, na kukatuliza, nakukafundisha mambo mengi....
ni waschana wachache , ndio utabahatika kuta wana akili kubwa, na wengi wao ni LAZIMA UKUTE NI ANA DINI NDANI YAKE !!!.
Lkn hizi Galz za kupenda bata kila uchwao, ubebane naye umuweke ndani??.
Wana mambo mengi vichwan!!!.
Kaschana kadogooo, alafu hata hakasali wala kuswali unategemea nn??
Bora umchukue Mwanamke aliyekua umri na akili....UKAPATE NDOA ISOKUA NA STRESS !!!.
Unabeba kaschana kana miaka 25 , kuja kutulia akili, maana yake umetumia miaka 10 ,kuvumilia, na kukatuliza, nakukafundisha mambo mengi....
ni waschana wachache , ndio utabahatika kuta wana akili kubwa, na wengi wao ni LAZIMA UKUTE NI ANA DINI NDANI YAKE !!!.
Lkn hizi Galz za kupenda bata kila uchwao, ubebane naye umuweke ndani??.