Dar: Kiwanda cha Magodoro GSM, Chawaka Moto

sanction za konda boy zimezaa matunda
 
Wewe hujitambui watu wamejimilikisha viwanja mtoto wa dada ake pamoja na huyo magufuli


Makonda dodoma kajimilikisha viwanja na hayo makontena aliyachukua na hakulipa kodi yoyote
 
Haya magodoro sio mara ya kwanza kuungua. Hapa ni INSURANCE FRAUD inaendelea, hawa waarabu wataumalizia mifuko yetu ya bima na kuifilisi kabisa
 
Mkali wa hizo kazi wakati hana marynder? Siksi kafumua, mshika rimoti na prince kafumua. Kipenzi chake aliyewahishwa faster kuzimu kulinusuru taifa kwa maslahi mapana ya taifa walikuwa wanajifungia ndani magogon naye pia katifua
mkuu unachuki sana

ebu meza wembe huenda utakusaidia😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…