Mpango alichofanya ni ku encourage watu waende kununua hivyo vifaa na hakumjibu BashiteThat is obvious. Sasa kwa nini Mpango anajiingiza katika malumbano naye? Si afanye kazi tu.
Au ndiyo serikali ya kutunishiana misuli na mashindano ya nani zaidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Which is still a good thing.Sheria inaelekeza, ikitokea imeshindikana kuuza kwa mnada, basi serikali itaamua namna ya kugawa hizo samani.
Msingi hapa ni kwamba hizo samani zikitaifishwa basi nchi nzima kwa ujumla itanufaika na hizo samani na sio Dar pekee.
Wakoola bwaaahnaaHii ni poul Makonda not RC against wizara ya fedha sio mamlaka mbili za uteuzi kulumbana ni mamlaka v/s mtu binafsi ambaye alishapewa utaratibu lkn hajafata
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeambiwa atayenunua atalaaniwa. Maana yake kama ni mtoto wa kike akikalia, makalio yatasinyaa na kuwa flat screen. Na kama ni mtoto wa kiume, mgongo utaongezeka na kuwa na mabastola. Je ungependa laana kama hizi zikupate kisa tu umenunua thamani za bei chee?anunue kwani yeye ana shule? Zipo taasisi nyingi tu zinaweza kununua kwa matumizi yao.
Ndio kachokwaKuna viashiria vya kuonyesha jamaa kachokwa.
Amesahau kuwa daima YATIMA HADEKIKwa hakika suala hili linaonyesha jinsi Daudi Bashite aka Paul Makonda alivyo kilaza. Mtu yeyote aliye makini kabla hajaagiza kitu kutoka nje angependa kufahamu kiasi gani cha kodi kitalipwa. Kama Bashite aliamini kwamba angepata msamaha, angethibitisha hilo na TRA au Waziri. Lakini hakufanya hivyo. Kibaya zaidi samani hizo zimekuja kwa jina lake na si kwa jina la taasisi. Ama kweli kuwa kilaza ni mzigo!
Muda utaongea. Ila naona muda wake unakaribia.Ndio kachokwa
Ila hawezi kufukuzwa
Mkuu. Hivi unahisi makonda hana hofu mpaka akurupuke kusema atakae nunua hizo kontena atapata rahana ? Jeuri hiyo katoa wapi ?
Jiwe na makonda ni marafiki
By the way nilisikia yule ADC alifukuzwa na mkulu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, pia mkuchika ameonesha kukerwa na lugola juu ya issue ya yule bosi wa magerezaHuyu jamaa naona AKITUMBULIWA muda si mrefu. Nimesikiliza habari Azam, Dr. Mpango yaonyesha amekasirishwa sana na kauli ya bbMakonda eti atalayenunua hizo samani alaaniwe.
Hivi kwa hiyo HATAKI kulipa kodi na hataki sheria ifuatwe kwa wanaoshindwa lipa kodi? Sidhani kama ana siku nyingi huyu, atafute kazi nyingine mapema sana ya kufanya.
Bashite alikuwa zamani siyo sasaWakitaka makontena yanunuliwe basi wamuhamishe wampeleke Songea, Rukwa au Mtwara.
Mark my words, the move is coming soon!
Wanafiki wakubwaMara nyingi watu waovu ndio wanaoongoza kulitaja jina na Mungu ili kulinda uovu wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tusubiri mkuu.Muda utaongea. Ila naona muda wake unakaribia.
Acha uchochezi#MwananchiNukuu Wengine hugawa watu katika mafungu. Mtu fulani akifanya kosa hata liwe kubwa, hasemwi lakini mwingine akifanya kosa japo dogo hukuzwa likawa kama Mlima Kilimanjaro" Hayati Baba wa Taifa, Julius Kambarage Nyerere #MwananchiLeo
Sasa huyu bashite kafanya bonge la kosa lakini baba yake anamlinda tu hapo ndo utajua jiwe alivyombaguzi.
Hamna cha laana hapo hayo ya laana kayasema mbumbumbu bashite. mtu mwenyewe hajasoma unategemea aongee nini?Mmeambiwa atayenunua atalaaniwa. Maana yake kama ni mtoto wa kike akikalia, makalio yatasinyaa na kuwa flat screen. Na kama ni mtoto wa kiume, mgongo utaongezeka na kuwa na mabastola. Je ungependa laana kama hizi zikupate kisa tu umenunua thamani za bei chee?
Ni vigumu kuweza kusema nini kitafuata; Nani atatumbuliwa;Nani ataachwa.Mpango hajatumbuliwa mpaka sasa?? Hii Vita mmoja ataondolewa tu. Na possibly Makonda ili kuinua morali kwa watumishi wengine hasa mawaziri
Sent using Jamii Forums mobile app