DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Sheria inaelekeza, ikitokea imeshindikana kuuza kwa mnada, basi serikali itaamua namna ya kugawa hizo samani.

Msingi hapa ni kwamba hizo samani zikitaifishwa basi nchi nzima kwa ujumla itanufaika na hizo samani na sio Dar pekee.
Which is still a good thing.
 
Mwenye makontena asingekuwa msukuma, kibarua kingeota mbawa, kwa sabbat huyu alilenga kuhujumu uchumi kwa kuidanganya TRA
 
anunue kwani yeye ana shule? Zipo taasisi nyingi tu zinaweza kununua kwa matumizi yao.
Mmeambiwa atayenunua atalaaniwa. Maana yake kama ni mtoto wa kike akikalia, makalio yatasinyaa na kuwa flat screen. Na kama ni mtoto wa kiume, mgongo utaongezeka na kuwa na mabastola. Je ungependa laana kama hizi zikupate kisa tu umenunua thamani za bei chee?
 
Kwa hakika suala hili linaonyesha jinsi Daudi Bashite aka Paul Makonda alivyo kilaza. Mtu yeyote aliye makini kabla hajaagiza kitu kutoka nje angependa kufahamu kiasi gani cha kodi kitalipwa. Kama Bashite aliamini kwamba angepata msamaha, angethibitisha hilo na TRA au Waziri. Lakini hakufanya hivyo. Kibaya zaidi samani hizo zimekuja kwa jina lake na si kwa jina la taasisi. Ama kweli kuwa kilaza ni mzigo!
Amesahau kuwa daima YATIMA HADEKI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa naona AKITUMBULIWA muda si mrefu. Nimesikiliza habari Azam, Dr. Mpango yaonyesha amekasirishwa sana na kauli ya bbMakonda eti atalayenunua hizo samani alaaniwe.
Hivi kwa hiyo HATAKI kulipa kodi na hataki sheria ifuatwe kwa wanaoshindwa lipa kodi? Sidhani kama ana siku nyingi huyu, atafute kazi nyingine mapema sana ya kufanya.
Mkuu, pia mkuchika ameonesha kukerwa na lugola juu ya issue ya yule bosi wa magereza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
#MwananchiNukuu Wengine hugawa watu katika mafungu. Mtu fulani akifanya kosa hata liwe kubwa, hasemwi lakini mwingine akifanya kosa japo dogo hukuzwa likawa kama Mlima Kilimanjaro" Hayati Baba wa Taifa, Julius Kambarage Nyerere #MwananchiLeo


Sasa huyu bashite kafanya bonge la kosa lakini baba yake anamlinda tu hapo ndo utajua jiwe alivyombaguzi.
Acha uchochezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmeambiwa atayenunua atalaaniwa. Maana yake kama ni mtoto wa kike akikalia, makalio yatasinyaa na kuwa flat screen. Na kama ni mtoto wa kiume, mgongo utaongezeka na kuwa na mabastola. Je ungependa laana kama hizi zikupate kisa tu umenunua thamani za bei chee?
Hamna cha laana hapo hayo ya laana kayasema mbumbumbu bashite. mtu mwenyewe hajasoma unategemea aongee nini?
 
Mpango hajatumbuliwa mpaka sasa?? Hii Vita mmoja ataondolewa tu. Na possibly Makonda ili kuinua morali kwa watumishi wengine hasa mawaziri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najaribu kufukiria tu nje ya box kwamba hivi mambo haya yanayoendelea kati ya Bashite na Mpango kulikuwa na haja wananchi tuyajue ?
Kwani baba hawezi kuwaita akatoa suruhu yakaisha ?
Au ndo mnatutoa kwenye ajenda za msingi kutupofusha macho?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom