chikanu chikali
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 1,146
- 1,832
Wacha kumshauri mie siwez mshauri hata kdogo wacha anyoooke maana ufalme wao ulishafitinika kama vile Babylon tower
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtabadilika sana maana sasa namba zinasomekaDr Mpango naye ni jiwe, hatishiki Wala haogopi mutu
Watu bado wanajikomba kwa DAB naona akili zao ni zile za kina LEMUTUZTena mwambie collective responsibility ktk level ya waziri ni ya cabinet ambako m/kiti ni rais, na huko RC haingii, na ndo serikali na ndo mamlaka ya juu na chombo cha juu cha maamuzi ktk serikali,who is DAB
Kwa hali ilivyo inaonyesha kuwa sasa DAB amesha wachwa kwenye mataa na babake sasa apambanie hali yake tuYani kwa jinsi atakavyoshughulikia hili (vizur)_ni tofauti na nape alivyoshughulikia ishu ya mawingu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani kwenye hazinaNape alimgharimu uwaziri kupambana na Makonda,sijui Dr Mipango nini kitamkuta
Sio ndio hapo jiulizeLakini mwenzenu au sijaelewa vizuri: makontena yameingia nchini kutoka diaspora wa Marekani ....huu si ndio ule msaada kwa ajili ya shule zetu kutoka kwa ndugu zetu wa nje? Sheria inataka kodi hata kwenye misaada ya kijamii?
Sent using Jamii Forums mobile app