powerfactor
New Member
- Aug 26, 2018
- 4
- 4
ya apa inatakiwa ufikirie mbal ndio utatoa jibu sahihi ..first ujue sheria inasemaje ya ushuru. alichokifanya waziri alimuliza kamisha wa TRA sheria inasemaje,akafanunua kuwa iwe selikari ya mitaa au selikari kuu ikiagiza vitu inatakiwa ilipe ushuru, kwa hyo ata kipindi anagiza hivi vifaa ilibid atoe taarifa selikarin kuwa kuna amepata ufadhiri wa vifaa vya shule lkn itakuwaje kuhusu ushuru? kwa hyo selikari kupitia wizara ya elimu ingejadili hyo jins gan ya kufanya. Lkn ye akafanya yeye kama yeye wakat anajua kabisa nchi inaendeshwa kwa misingi ya sheria alafu ww unakuwa wa kwanza kuvunja sheria ..hii n sawa na kusema kwa vile ile ni hospital ya selikari bas isilipe bil za umeme kwa shirika la tanesco sasa mbona nchi itakuwa inaendeshwa kienyeji...na wazili kasema hivi vi2 vitauzwa na ela itaenda selikarin itafanya kaz ile ile ya huduma za jamii au wakishindwa watazigawa sehem tofaut tofaut sio 2 dsm wanafunzi na walim ni wa watanzania wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app