DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

ya apa inatakiwa ufikirie mbal ndio utatoa jibu sahihi ..first ujue sheria inasemaje ya ushuru. alichokifanya waziri alimuliza kamisha wa TRA sheria inasemaje,akafanunua kuwa iwe selikari ya mitaa au selikari kuu ikiagiza vitu inatakiwa ilipe ushuru, kwa hyo ata kipindi anagiza hivi vifaa ilibid atoe taarifa selikarin kuwa kuna amepata ufadhiri wa vifaa vya shule lkn itakuwaje kuhusu ushuru? kwa hyo selikari kupitia wizara ya elimu ingejadili hyo jins gan ya kufanya. Lkn ye akafanya yeye kama yeye wakat anajua kabisa nchi inaendeshwa kwa misingi ya sheria alafu ww unakuwa wa kwanza kuvunja sheria ..hii n sawa na kusema kwa vile ile ni hospital ya selikari bas isilipe bil za umeme kwa shirika la tanesco sasa mbona nchi itakuwa inaendeshwa kienyeji...na wazili kasema hivi vi2 vitauzwa na ela itaenda selikarin itafanya kaz ile ile ya huduma za jamii au wakishindwa watazigawa sehem tofaut tofaut sio 2 dsm wanafunzi na walim ni wa watanzania wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani umemaliza kabisa mkuu! Elimu ikiwa kwa kiwango kidogo kuliko hitaji husika haya ndo matatizo yake; nimejifunza kuwa siku zote elimu ya kutosha inakufanya ujue kuwa kuna mengi mno ya kujua na hivyo kukufanya uwe mnyenyekevu na makini katika kuweka akiba, ikiwemo ya maneno.

Kwa bahati mvaya sana DAB, akuzingatia mashauri ya Sulemani katika Mithali 4:13 na kama kubadilisha jina kumeshindwa kumhekimisha hakuna kanisa litakalomsaidia kufikia malengo yake kwa mbinu dhalimu.

Kilichokaki ni kurudi na kubembeleza mamlaka ya uteuzi; labda kuna maajabu yatakayowezekana.

Pole nyingi kwa DAB lakini uzuri ni kwamba anaendelea kujifunza, japo kwa njia ngumu kuwa mara nyingine mbeleko inaweza kuwa ngumu sana kupatikana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ficha ujinga wako, vifaa vya walimu na watoto vije kwa jina lake ili iweje? Kama kuna waliochanga ili hali wanajua kuwa vinakuja kwa jina la bashite jua hao ni mazwazwa zaidi ya bashite mwenyewe
 
watu tu hawampendi makonda.. ila kuuza meza za walimu ni wehu
Wapi ziimeandikwa "Meza za Walimu?" sisi tunajua ule mzigo ni wa GSM! Walimhonga vigari,wakamuhonga hisa kwenye kampuni yao,wakamkarabatia ofisi na kumweka samani kama hizo zilizoko kwenye ma container bandarini! Kwa hiyo zile Container ni za GSM na yeye ni mmoja wa wamiliki wa GSM! Alipe kodi aache kutuma vibaka kuja kutetea huku!
 
wanalaumu bure wafanyabiashara kwenye suala ka kodi; kumbe hata wanaoimba tulipe kodi nao hawataki kulipa!

lakin la pili; furniture za nje kod yake juu sana!
ukinunua mnadan kodi yake ni 77%
yaan kama ulinunu kwa 10 milion, TRA wanakudai ulipe 7.7milion ziada
 
Huyu mzee hana akili , kwahiyo anamaanisha serikali itajenga madarasa na ofisi za walimu .mbona haijajenga mpaka makonda ndiye kajenga

Sent using Jamii Forums mobile app
order ya serikali imetoka, anatokea mtu anaipinga hadharani, nani yuko juu kati ya mkuu wa mkoa na waziri, what if kila mkuu wa mkoa apate msaada wa kontainer 36 za samani! baadae magari ya shule, baadae simenti za kujengea madarasa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzoni si alivikana? Una kipi cha kusema kuhusu hili?
 
hivyo vifaa angevileta kwa jina la wizara ya elimu au kwa jina la ofisi ya mkuu wa mkoa na si jina lake shida ndo inaanzia hapo ,mwambie alipe ushuru tu !
 
Mkuu nina shaka na upenzi wako wa somo la sheria, kuna kifungu kipi kinampa waziri nguvu za kusamehe kodi kwenye samani? Nimesikia waziri akisema samani inabidi zilipiwe kodi kwa mujibu wa sheria.
 
Huuu ni mchezo tu wananchi tunachezewa akili hapo hamna lolote.Sema wanatataka kutufanya tukae attention kusikiliza kitachompata makonda tuache kujadili mambo ya msingi.Huyu ni mkuu wa Mkoa na Huyu ni Waziri na wote wanaishi Dar na Boss wao ni mmoja hapo kuna ABLAKADABLA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wale tuu, hii game kuna mtu anasakwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…