DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Tupe evidence inayo justify kwamba ni kweli hivyo vifaa vimechangwa na Diasporas na twende mbali Zaidi unipe ushahidi kama ni kweli ndani ya makontena hayo ni furniture tuu peke yake ziko huko.TRA na Dr Philip Mpango sio wtu wa mzaha mzaha wewe.Ukiyafungulia yale makontena kilichopo ndani yake utashangaa mkuu.Acha serikali iuze tupate kodi kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kurekebisha maslahi mbalimbli ya watumishi wetu waliosahaulika kama sio kutupwa kabisa
 
Dua za wanyonge zinaanza fanya kazi.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Yaani tunasema Tanzania ya viwanda yeye anaagiza nje! Ndo maana mafundi seremala hawana kazi! Alipe kodi.
 
Yaani tunasema Tanzania ya viwanda yeye anaagiza nje! Ndo maana mafundi seremala hawana kazi! Alipe kodi.
 
apo ndo napokumbukaga kua ya kaisari mpe kaisari....!!!!
 
Laana kwa watu watakaonunua makontena? Je laana za watu aliowaumiza yeye je? Mie naona laana za watu aliowaumiza ndizo zimeanza kufanya kazi na bado!
 
Sasa kumekuchaaaaaaaaaa, sasa kumekuchaaaaa, jogoo limekwisha wika Chimwagaaaaa..... (kwa sauti ya hayati John Komba)...
 
Kuna maelekezo public na maelekezo ya chini kwa chini,haya ya chini kwa chini ndio huwa na nguvu,kama haya makontena yatauzwa basi tuombe uzima,tutakuja kuona Kati ya mpango na makonda ni Nani mwenye nguvu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuuumbeee!
Sasa naanza kukonekiti doti!
Huyu kaleta samani!
Huyu kajenga shule!
Huyu kasema samani zipigwe mnada!
Huyu kalaani!
Huyu kanunua madiwani!
Mwenyenguvu mpisheni jamani!
 
hujui anampa nini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mk
Mkuu usicheze na mwana Wa mungu, muda si mrefu mungu baba yake bashite ata mshughulikia huyo mpango,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…