DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Hapa Kuna Kamchezo Tunachezewa na Hawa Vingozi Wawili, Hivi Huko bungeni Kuna Mjadala gani? Unaendelea Isije Ikawa ni yale Ya Samaki Na Rula Ktk Bunge la Bajeti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Magufuli si ndo anashtumiwa kumbeba Makonda?
Tuna ushahidi wa kutosha wa marais waliofanya madudu ya kuwabeba ndugu na marafiki kwenye mizigo yao pale bandarini, je Magufuli angekuwa anambeba Makonda ,si angetuma memo tu?? Kwamba hayo makontena yaachiwe Mara moja?

Ninahisi Magufuli hajawahi kumbeba Makonda, ila hapendi kushinikizwa kuchukua hatua,

Naanza kupata mwanga wa mambo mbali mbali

Magufuli hajawahi kumbeba Makonda, si ambebe hata kwa hili??

Au kambeba kaona habebeki? Au kambeba kaona amechoka, au hajawahi kumbeba kabisa
Huyo kijana alibahatika kupendwa na mheshimiwa rais angelitulia akajifunza na kufanya vizuri bila kurupu kurupu angeenda mbali zaidi lakini kutokana upeo wake mdogo na majigambo sasa yuko mlango wa kutokea tena wa uwani ! Pole zake !
 
Hivi Magufuli si ndo anashtumiwa kumbeba Makonda?
Tuna ushahidi wa kutosha wa marais waliofanya madudu ya kuwabeba ndugu na marafiki kwenye mizigo yao pale bandarini, je Magufuli angekuwa anambeba Makonda ,si angetuma memo tu?? Kwamba hayo makontena yaachiwe Mara moja?

Ninahisi Magufuli hajawahi kumbeba Makonda, ila hapendi kushinikizwa kuchukua hatua,

Naanza kupata mwanga wa mambo mbali mbali

Magufuli hajawahi kumbeba Makonda, si ambebe hata kwa hili??

Au kambeba kaona habebeki? Au kambeba kaona amechoka, au hajawahi kumbeba kabisa
mbona kama una suluhisho tayari unauliza swali ambalo we tayari una majibu,mi siongezi kitu
 
Wasiwasi wangu vilivyokuja vilishachukuliwa vilivyopo nivingine, hili ninaliamini 78%.
Haiwezekani muda wote wawe wanasubiri kusamehewa kitu kisichosameheka na wasitafute plan b.
unachosema kinawezekana kabisa
 
Yetu macho wenye Tanzania yao ndio hao wanaiibia nchi vichekesho😂😂😂😂👟👟👟👟👟👟👟👟👟👟👟👟👟🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈
 
Hatimae wanunuzi wamegoma thank you god,ngoja sasa wayagawe mashuleni.
 
#MwananchiNukuu Wengine hugawa watu katika mafungu. Mtu fulani akifanya kosa hata liwe kubwa, hasemwi lakini mwingine akifanya kosa japo dogo hukuzwa likawa kama Mlima Kilimanjaro" Hayati Baba wa Taifa, Julius Kambarage Nyerere #MwananchiLeo


Sasa huyu bashite kafanya bonge la kosa lakini baba yake anamlinda tu hapo ndo utajua jiwe alivyombaguzi.
wa kikabila? kikabda? au ....... makizia mana unamjua vizuri lete habri
 
Back
Top Bottom