upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
We ndie msemaji wake au ndio kujishaua tu?utaliwa kiboga.Mi naona kama Makonda ndiyo anaelekea kumchoka Magufuli, kama itabidi nichangie mchango wangu ni huo. Magufuli hajasema chochote na msimuingize huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Napata uvivu wa kujibu aisee na hili unabisha? Khaaa!Kenya wamepiga hatua ya wapi, unaishi kenya mkuu, au unasikiliza kupitia BBC Swahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo kijana alibahatika kupendwa na mheshimiwa rais angelitulia akajifunza na kufanya vizuri bila kurupu kurupu angeenda mbali zaidi lakini kutokana upeo wake mdogo na majigambo sasa yuko mlango wa kutokea tena wa uwani ! Pole zake !Hivi Magufuli si ndo anashtumiwa kumbeba Makonda?
Tuna ushahidi wa kutosha wa marais waliofanya madudu ya kuwabeba ndugu na marafiki kwenye mizigo yao pale bandarini, je Magufuli angekuwa anambeba Makonda ,si angetuma memo tu?? Kwamba hayo makontena yaachiwe Mara moja?
Ninahisi Magufuli hajawahi kumbeba Makonda, ila hapendi kushinikizwa kuchukua hatua,
Naanza kupata mwanga wa mambo mbali mbali
Magufuli hajawahi kumbeba Makonda, si ambebe hata kwa hili??
Au kambeba kaona habebeki? Au kambeba kaona amechoka, au hajawahi kumbeba kabisa
mbona kama una suluhisho tayari unauliza swali ambalo we tayari una majibu,mi siongezi kituHivi Magufuli si ndo anashtumiwa kumbeba Makonda?
Tuna ushahidi wa kutosha wa marais waliofanya madudu ya kuwabeba ndugu na marafiki kwenye mizigo yao pale bandarini, je Magufuli angekuwa anambeba Makonda ,si angetuma memo tu?? Kwamba hayo makontena yaachiwe Mara moja?
Ninahisi Magufuli hajawahi kumbeba Makonda, ila hapendi kushinikizwa kuchukua hatua,
Naanza kupata mwanga wa mambo mbali mbali
Magufuli hajawahi kumbeba Makonda, si ambebe hata kwa hili??
Au kambeba kaona habebeki? Au kambeba kaona amechoka, au hajawahi kumbeba kabisa
unachosema kinawezekana kabisaWasiwasi wangu vilivyokuja vilishachukuliwa vilivyopo nivingine, hili ninaliamini 78%.
Haiwezekani muda wote wawe wanasubiri kusamehewa kitu kisichosameheka na wasitafute plan b.
Mi naona kama Makonda ndiyo anaelekea kumchoka Magufuli, kama itabidi nichangie mchango wangu ni huo. Magufuli hajasema chochote na msimuingize huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani kuna sherehe gani hivi karibuni, au hata uzinduzi ili apate pa kutapikianasubir jiwe apate nafasi kuongea tu hata msibani lazima atarusha jiwe gizani tu
Sent using Jamii Forums mobile app
wa kikabila? kikabda? au ....... makizia mana unamjua vizuri lete habri#MwananchiNukuu Wengine hugawa watu katika mafungu. Mtu fulani akifanya kosa hata liwe kubwa, hasemwi lakini mwingine akifanya kosa japo dogo hukuzwa likawa kama Mlima Kilimanjaro" Hayati Baba wa Taifa, Julius Kambarage Nyerere #MwananchiLeo
Sasa huyu bashite kafanya bonge la kosa lakini baba yake anamlinda tu hapo ndo utajua jiwe alivyombaguzi.
HATA YASIPONUNULIWA TUMEJUA ni ya MAKONDA japo mwanzo ALIKANA. Yaelekea yapo chini ya kiwango poor hayauziki.Hatimae wanunuzi wamegoma thank you god,ngoja sasa wayagawe mashuleni.
Sasa Makonda anamiliki shule?!..mpaka aagize Madawati.HATA YASIPONUNULIWA TUMEJUA ni ya MAKONDA