DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Suala sio vitatumikaje. Suala ni kuwa sheria zimefuatwa??
 
Hebu bashite kuja jamvini hapa ubaereze bakongo mwanzo uliakana kwamba sio yako leo kimekupata nini mpaka unaanza kulialia
 
Umedadavua vema kuongezea nyama kiasi tu it's a tricky! None of us is above the laws, uvunjaji wa sheria ni uvunjaji tu non exceptional, utaratibu wa tax exemptions unaeleweka na bidhaa zinaeleweka.

Likitokea hili kuna RC ama mtumishi mwanasiasa mwingine nae atapitia hapo hapo atafanya reference hapo hapo nae atakuja na bidhaa zingine. Sheria na utaratibu wa nchi unaeleweka na ufuatwe tu accordingly.

Hata yeye alianza vizuri sana na lile zoezi la uchangiaji wa vifaa vya elimu kutoka kwa wadau mbali mbali wa dsm, watu walijitoa (with no taxi exemption), na mikoa mingine iliiga mfano huo mzuri sana kutoka mkoa wake hadi ikawa kampeni ya kitaifa.

Unapotaka kutoa msaada jipange tu, hata msaada unagharama zake, unaeza jitoa hata kwenye mapato yako USAIDIE wengine. The option is clear

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hajielewi
 
Najua wengi ni wana intelligence,

Hebu weka tetesi yeyote uliyosikia kuhusu makontena 16 yaliyofanikiwa kutoka Bandarini, yalilipiwa na nani na yako wapi,


Mi naweka tetesi yangu nasikia bado hayajafika bandarini na anataka yatolewe na GSM,

Tetesi ya pili wanasema yamepelekwa mwanza kwenye hoteli ya mtu maarufu,

Je we umepata tetesi gani huko??

Tetesi mi kwamba yalikuwa makontena 36 akapewa msamaha contena 16 yakabaki 20 ndoanadaiwa alipe lkn na zenyewe anataka ayachomoe biree

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Justice should be done but should also be seen to be done,nobody is above the law It can be done play your part !
 
Nasikia jiwe aliyaokota kama alivyookota vile vichwa vya nanii...
ila akamute tu!
 
Mwacheni kijana wa watu. Mbona mnamsakama kila upande?? Umeshaambiwa aliomba msamaha wa kodi kwa yote 36 lakini yaliyokwama ni hayo 20. Mnataka hata myaone na vyote vilivyokuwemo ndani. Acheni naye ajilambie huu utamu wa hili li inji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…