DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Tehe tehe labda kama hatuhitaji elimu bure
Kila siku Rais anasema kuna viongozi hawamuelewi,wanabishana wao kwa wao kwa ajili ya kazi ya serikali.
Sheria imempa nguvu waziri wa fedha kusamehe kodi kwa kutoa Government notice na kuichapisha katika gazeti la serikali
Mpango anaudanganya moyo wake kwamba hizo container 20 ni za Makonda zikitoka zitaenda kuuzwa congo,huku akili yake inajua kabisa makonda aliomba msaada kwa niaba ya serikali
Watu warasimu kama akina Mpango hawatufai kwa sasa
Nakubaliana kabisa na Wewe! Haiwezekani Mhe. Waziri uende hadharani ukapingane na RC kwa kurejerea magazeti. Hii ni laana! RC yeye kaongea na anayemwamini Kanisani na kaomba kwa atakayenunua alaaniwe na sio Serikali ilaaniwe. Sasa nini kilichomtuma Waziri kulumbana? Ama kweli naamini Vita ya Dawa za kulevya alivyoanzisha RC ni vikubwa.
 
Huyu jamaa naona AKITUMBULIWA muda si mrefu. Nimesikiliza habari Azam, Dr. Mpango yaonyesha amekasirishwa sana na kauli ya bbMakonda eti atalayenunua hizo samani alaaniwe.
Hivi kwa hiyo HATAKI kulipa kodi na hataki sheria ifuatwe kwa wanaoshindwa lipa kodi? Sidhani kama ana siku nyingi huyu, atafute kazi nyingine mapema sana ya kufanya.

Toka dunia iumbwe hakujawahi kuonekana mpando wa bangi ukitoa maembe.CCM,haya ndio matunda ya ku-recruit vijana waliowekeza katika ujuzi wa kusema na kupayuka hovyo hovyo.Haya ndio mapato ya kununua watu toka popote pale, iwe upinzani au toka ndani ya CCM yenyewe, ili eti waende wakakabiliane na upinzani.Kazi ya kuusambaratisha upinzani ikiisha kumalizika,kazi inayokuwa imesalia ni kama hiyo ya Makonda kudhania kwamba hapa duniani kuna kitu kinaitwa laana.
'

Na kwa kuwa Pole pole na genge lao bado hawajaelewa vizuri kuwa kuna mapato mabaya zaidi ya hili, kufikiria kwamba Mungu ana hazina ya laana anazozigawa kadri apendavyo,basi ngoja endelee kuvutia vijana wasema hovyo katika chama chao.Anavutia vijana kwenye chama wasio kuwa na meno ya kuchuja maneno bali wenye makoo ya kutapika lolote na popote!
 
Hivi mwadhani DAB alitishia "Nyau"?? Huyo Mpango ajaribu kununua limojawapo tu hata kwa pesa ya mkopo kwani akiviuza vilivyomo ndani yake atarudisha alichonunulia fasta. Hayanunuliki hata kwa robo bei. Labda wamwombe mwenye nayo ayatoe sadaka
 
Nakubaliana kabisa na Wewe! Haiwezekani Mhe. Waziri uende hadharani ukapingane na RC kwa kurejerea magazeti. Hii ni laana! RC yeye kaongea na anayemwamini Kanisani na kaomba kwa atakayenunua alaaniwe na sio Serikali ilaaniwe. Sasa nini kilichomtuma Waziri kulumbana? Ama kweli naamini Vita ya Dawa za kulevya alivyoanzisha RC ni vikubwa.

Kwa hiyo,na wewe unaaamini Mungu ana hazina ya Laana ambazo Makonda kama alivyomuomba, basi atazielekeza kule Makonda anakotaka ziende? Huyo Mungu anapatikana wapi? Ni yule aliyeumba Jua linazama katika dimbwi la matope meusi au ni yupi huyo hasa?
 
Ukiona Dk Mpango anaongea ujue kweli kaumia na maneno ya makonda, mpango hanaga muda mtu yeye ni kazi tu, na makonda anapoharibu asiwe anakimbilia kujificha kwa mungu au makanisani hii kitu ni mbaya sana,nani hamjui mungu? makonda ni mtumishi wa serikali anatakiwa afanye kazi sio biashara.
Umempamba Mpango maana ni mnafiki sana! Nadhani kapewa kibali kutoka kwa boss wake au siyo Hazina? ila aache kuonea walio chini yake maana ni wengi kawachinjia baharini
 
That's even worse.

Waziri angemdharau na kunadi tu vitu bila majibizano mengi, kwa sababu wananchi wakiona viongozi wanajibizana, bila kujali ni mtu na taasisi au taasisi na taasisis, na nani kapatia na nani kakosea, ule mzozanotu ni negative energy inayoondoa imani ya wananchi katika serikali.

Sasa hawa watu washatengeneza uadui, kesho wakitakiwa kukaa pamoja kwa manufaa ya umma, badala ya kuanza kazi, itabidi wanze usuluhishi kwanza.

Some schoolyard mentality, sio national leadership.

Natambua Makonda ana makosa, ila nafadhaika sana viongozikuzozana regardless ya nani kakosea.

Viongozi hawatakosa kukosea, ila wakishindwa kumaliza mizozo yao kwenye vikao wakajibizana kwenye vyombo vya habari, hilo linaonesha mapungufu makubwa sana katiak uongozi wetu.
Apige mnada kimya kimya kwa kumuogopa nani? Embu acheni kumtukuza huyu yy amekuwa nani kwenye nchi hii? Kama amekosea aambiwe live tu hakuna kumuonea haya mtu hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii series hii inaonyesha magu kashamchoka Bashite na ndio maana wateuliwa wa magu hawatishiki kwa sasa, na napata uhakika sasa kuwa ni kweli Bashite akili zake hazipo sawasawa maana mara ya kwanza aliyakana hayo makontena kuwa sio yake akaja tena akisema kuwa ni yake na anaomba msamaha wa kodi na sasa anawalaani wanaoyapiga mnada wakati ni yeye mwenyewe mwazo aliyakana kuwa sio yake

Alafu ukimkuta kule insta anavyopost mambo ya kilokole huwezi mshtukia kuwa ni shetani mkubwa huyu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja Nile popcorns

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok. Naona picha linaanza.
Lakini muda mwingine tutumie busara zaidi kuliko nguvu na sheria. Kodi ya serikali inayodaiwa ni 1.2bn, ina maana hayo makontena yanathamani zaidi ya hiyo let say 3bn. Serikali inauza kontena moja kwa 60mn ili ipate pesa yake. Katika hiyo 1.2bn zitatumika katika bajeti kununulia tena hivyo vifaa vya ofisi za walimu, ambavyo vinaweza visifike wingi huo. So, nionavyo mimi, serikali ndio itakayo poteza kwa kuingia gharama kwa vitu ambavyo wamepewa bure. Pili, inawavunja nguvu hata jamaa waliochangia wakiombwa tena. Ndio maana naona inahitajika busara coz wote tunajenga nyumba moja kasoro njia tunazo tumia. Na upuuzi kama huu nilishawahi kuuona pale MOI, walitangaza mnada wa kuuza vitanda vya wagonjwa wakati palepale muhimbili kuna watu wanalala chini sababu ni taasisi tofauti japo zipo chini ya wizara moja.
Tanzania kichwa cha mwendawazimu hadi kwenye uongozi sio mpira tu.
 
Apige mnada kimya kimya kwa kumuogopa nani? Embu acheni kumtukuza huyu yy amekuwa nani kwenye nchi hii? Kama amekosea aambiwe live tu hakuna kumuonea haya mtu hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna niliposemaapige mnadakimyakimya.

Nimegundua uzi huu umetawaliwa na siasa zaidi,habari za nani amuogope nani, focus kwenye personalities.

Wakati miminaongelea collective responsibility, serikalikufanya kazi kwa sauti moja.

Naongelea vitu fulani hivi vya old schoolprinciple katika zamaambazo kuanzia wananchi mpakaviongozi wameridhika na uongozi wa vikatuni na mielekamieleka tu.

Hatuwezi kuelewana.
 
Back
Top Bottom