Yaani umemaliza kabisa mkuu! Elimu ikiwa kwa kiwango kidogo kuliko hitaji husika haya ndo matatizo yake; nimejifunza kuwa siku zote elimu ya kutosha inakufanya ujue kuwa kuna mengi mno ya kujua na hivyo kukufanya uwe mnyenyekevu na makini katika kuweka akiba, ikiwemo ya maneno.
Kwa bahati mvaya sana DAB, akuzingatia mashauri ya Sulemani katika Mithali 4:13 na kama kubadilisha jina kumeshindwa kumhekimisha hakuna kanisa litakalomsaidia kufikia malengo yake kwa mbinu dhalimu.
Kilichokaki ni kurudi na kubembeleza mamlaka ya uteuzi; labda kuna maajabu yatakayowezekana.
Pole nyingi kwa DAB lakini uzuri ni kwamba anaendelea kujifunza, japo kwa njia ngumu kuwa mara nyingine mbeleko inaweza kuwa ngumu sana kupatikana!
Sent using
Jamii Forums mobile app