DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Mkuu naona unaendeleza siasa nyepesi za mitandaoni. Una uhakika gani kama hana marafiki huko nje.

Kibaya zaidi kuna watu wa Diaspora wenye nia njema na nchi yao, lakini upuuzi unaokuwa unaendelea humu nchini unawakwamisha na kuwakwaza katika lile wazo la kuiendeleza Tanzania.

Kumbuka kuwa walimu ndio wametuwezesha hata kuweza kuandika chochote humu jukwaani. Labda ulikuwepo ukosefu wa mawasiliano kati ya RC na serikali kuu na labda ndio yaliyosababisha haya yanayoendelea kwa sasa.

Punguzeni kiburi cha kijinga, jifunzeni kutazama pande mbili za kila tukio.
Mkuu tumekuwepo nchini muda mrefu sana na tunaweza kumtambua mwanasiasa mwizi kwa mbali sana.
Njia ya kijinga na ya kwanza ni mwanasiasa kujidai ana uchungu sana na kada fulani ya watu masikini, wakati hasa ni kupiga cha juu.
Hiyo huruma ni changa la macho.
Makonda huyu huyu ambaye majuzi(less than 10 years) alikuwa hana kitu, leo ana ma VX, BMW na mali za kutisha, na baadaye anawaagizia wananchi wake makontena zaidi ya 20 ,samani za shule?

Mtu ukipumbazika na hilo, basi una matatizo ya kimsingi.

Hela isiyopatikana kihalali daima kama jipu, linajitokeza ili lipasuke.
 
Kusafirisha container moja toka US mpaka Dar ni silingi karibia milioni saba.
Containers 20 ni milioni karibia 140. Hapo hujaweka gharama za hizo furnitures.
Je, ingekuwa vizuri kutoa dola laki moja(100,000$) ili utengeneze furnitures Dar (keko) na kutoa ajira kwa vijana wa Dar, kuweka hizo hela (za kigeni) kwenye mzunguko wa fedha mitaani Dar.
Au ni bora, kulipa kampuni za meli za nje fedha za kigeni kusafirisha fenicha kutoka nje, zilizotengeneza ajira nje?

Tuwe tunafikiria kichumi zaidi ili tupate faida kwa kidogo tulicho nacho. Some decisions huwa hazina faida sana, making you wonder .....
Ile ni Misaada Tu kapewa na watz waisio marekani sio hela yake. Walichukua used furniture na kumsaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tumekuwepo nchini muda mrefu sana na tunaweza kumtambua mwanasiasa mwizi kwa mbali sana.
Njia ya kijinga na ya kwanza ni mwanasiasa kujidai ana uchungu sana na kada fulani ya watu masikini, wakati hasa ni kupiga cha juu.
Hiyo huruma ni changa la macho.
Makonda huyu huyu ambaye majuzi(less than 10 years) alikuwa hana kitu, leo ana ma VX, BMW na mali za kutisha, na baadaye anawaagizia wananchi wake makontena zaidi ya 20 ,samani za shule?

Mtu ukipumbazika na hilo, basi una matatizo ya kimsingi.

Hela isiyopatikana kihalali daima kama jipu, linajitokeza ili lipasuke.
Mkuu wenye matatizo ya msingi ni aina yako ya watu. Kwa hiyo hata lile suala la matibabu ya wachina pale bandarini ilikuwa ni siasa ya kudanganyia umma?.

Kwa hiyo hata suala la kutetea haki za kinamama waliotelekezewa watoto na lenyewe ni jambo la kisiasa?.

Hakuna wa kukulazimisha kwamba lile ninalowaza mimi ni lazima liwe ndio hilo hilo kichwani mwako.
 
Ile ni Misaada Tu kapewa na watz waisio marekani sio hela yake. Walichukua used furniture na kumsaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa asingeiagiza km paul, angetumia mashirika yasiyo ya kiserikali kuingiza mizigo ambayo ni misaada, sheria inabana na imeainisha waziwazi hamna msaada wa kodi kwa watu binafsi iwe au isiwe kwa manufaa ya jamii, ndo kosa lilipofanyika hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unamuonea bure Makonda,serikali ya Magufuli ina ma professor kibao wanaofanya madudu
 
Nenda nchi za walizoendelea ambako sheria ni msumeno uone kama utafanya usanii aliofanya makonda halafu upewe makontena bila kulipa kodi.
Kudaiwa kwake means hakufata sheria za msamaha yeye ni nani asilipe kama wengine wanalipa? On top of that it doesn’t seems hayo makontena yana vifaa vya shule tu, kuna zaidi, plus uongo kuwa diaspora wamempa, diaspora ipi? Hii mnayosema wanabeba mabox watoe msaada wa vitu vinavyo worth kodi bil 21?? Gerarahia!
 
Tumesikia hivi karibuni sakata la makontena ya Mh Makonda.
Sakata lilianza mnamo Februari mwaka huu kwa kuyapokea makontena hayo mbele ya vyombo vya habari kule bandarini.

Lilipokuja swala la kodi mnamo mwezi wa nne au tano hivi, Makonda aliyakana MBELE YA VYOMBO VYA HABARI kuwa na yeye nado kwanza anayasikia!

Tukumbuke mapema, Mkuu wa nchi alimhimiza apige kazi kwenda mbele!

TRA wakakomaa na mnada, makontena bei ikawa juu ya viwango, hivyo hayakununulika.
Jumapili hii Makonda kaenda Kanisani( na siyo TRA) kuyaombea laana kwa atakayeyanunua!
~Mbele ya vyombo vya habari!

Hapa nikachoka!
Uongo ukawa dhahiri, makontena sasa ni yake na Makonda alitaka kukwepa kodi.

Na sasa anatumia ushirikina(sijui kanisa linalotoa laana kwa utendaji wa Serikali).

Haya ndo matokeo ya kuweka mtu kwenye madaraka makubwa huku kichwani ni patupu.
Ile clip ya gwajima kuwa anmdelete! Ndio imekuwa kweli?
 
Yeah ..... wALIZIOKOTA, HALAFU ZIKASAFIRI KWA KUTUMIA UNGO AU UFAGIO WA CHELEWA ZA MNAZI?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] cha muhimu aitishe "harambee" aanzishe namba ya simu labda 155484 tutume buku au jero au mia mia, ili mwisho wa siku tupate kodi yetu, huku aombe nyongeza na kusitisha mnada wakati tunakusanya hizo pesa, easy, sasa kulialia kama vile tunaonewa.

Mbona watu wanacheza sana bahati nasibu, aanzishe namba ya kampuni watu wachangie buku au jero au hata sh mia. Fasta,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusafirisha container moja toka US mpaka Dar ni silingi karibia milioni saba.
Containers 20 ni milioni karibia 140. Hapo hujaweka gharama za hizo furnitures.
Je, ingekuwa vizuri kutoa dola laki moja(100,000$) ili utengeneze furnitures Dar (keko) na kutoa ajira kwa vijana wa Dar, kuweka hizo hela (za kigeni) kwenye mzunguko wa fedha mitaani Dar.
Au ni bora, kulipa kampuni za meli za nje fedha za kigeni kusafirisha fenicha kutoka nje, zilizotengeneza ajira nje?

Tuwe tunafikiria kichumi zaidi ili tupate faida kwa kidogo tulicho nacho. Some decisions huwa hazina faida sana, making you wonder .....
Mkuu unaelewa mchakato mzima uliotumika kuzipata hizo samani?
 
Kusafirisha container moja toka US mpaka Dar ni silingi karibia milioni saba.
Containers 20 ni milioni karibia 140. Hapo hujaweka gharama za hizo furnitures.
Je, ingekuwa vizuri kutoa dola laki moja(100,000$) ili utengeneze furnitures Dar (keko) na kutoa ajira kwa vijana wa Dar, kuweka hizo hela (za kigeni) kwenye mzunguko wa fedha mitaani Dar.
Au ni bora, kulipa kampuni za meli za nje fedha za kigeni kusafirisha fenicha kutoka nje, zilizotengeneza ajira nje?

Tuwe tunafikiria kichumi zaidi ili tupate faida kwa kidogo tulicho nacho. Some decisions huwa hazina faida sana, making you wonder .....
Bora fenicha za watanzania,, tungepata hela za mbao, misumali, nyundo, gundi pamoja na kodi hela za kigeni tumezikosa na kodi tena tuzikose aah! Makonda Hakuna laana hapo.
 
Back
Top Bottom