Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kanaflow hivi?🤔Binadamu muda wowote utakufa, jitahidi kula na kufurahia maisha.
Zoezi linaendelea wewe umekimbilia kupost humu baada ya kwenda kusaidia uokoaji kwanza
Nchi imekuwa ya majanga kila kukicha.Lori lililokuwa limebeba saruji limeyagonga magari mawili madogo katika eneo la Tegeta wazo, Dar es Salaam ambapo zoezi la uokoaji linaendelea.
---
Lori lililokuwa limebeba Saruji limeyagonga Magari mawili madogo katika eneo la Tegeta wazo, Dar es Salaam
Zoezi la Uokoaji linaendelea huku Taarifa za awali zikisema Watu 3 wamepoteza Maisha
View attachment 2413063
Moja wapo ya barabara hatarishi ndani ya JMT ni pamoja na hicho kipande cha kutoka Tegeta Kibaoni hadi pale kiwandani (Twiga Cement). Jumla ya ajali zilizotokea katika hicho kipande na kusababisha vifo ni nyingi sana. Ile barabara kwa namna yoyote ile inahitaji kujengwa upya kusudi iendani na hali halisi ya mazingira ya sasa na yajayo. Kwa bahati nzuri siyo ndefu sana, kama sijakosea itakuwa na urefu husiozidi 2Km.Tegeta-Wazo Road ni nyembamba sana, serikali ilipe fidia itanue hiyo barabara ingawa nasikia walioijenga ni wazo(kiwanda) wenyewe.
Madem wa kinyiramba nasikia wako poa sanaKwahiyo ukila na kufurahia maisha ukifa ndio utapata faida gani!?
We fanya unachohisi kinakupa furaha ukiwa hai.Kama kanaflow hivi?🤔
Sio tujitahidi kumurudia Mungu ?
Hakika.Binadamu muda wowote utakufa, jitahidi kula na kufurahia maisha.
Ni kweli lakini kwa nchi kama Tanzania hasa jiji la Dar, uzembe unasababisha vifo vya ajali za magari vingi sana. Haya yote yanaweza kabisa kupunguzwa kabisa. Hayo malori mengi ni mabovu lakini bado utashangaa yako barabarani na yanakwenda mwendo wa kasi sana.Binadamu muda wowote utakufa, jitahidi kula na kufurahia maisha.
Hili ni tatizo la miaka mingi sana.Lori lililokuwa limebeba saruji limeyagonga magari mawili madogo katika eneo la Tegeta wazo, Dar es Salaam ambapo zoezi la uokoaji linaendelea.
---
Lori lililokuwa limebeba Saruji limeyagonga Magari mawili madogo katika eneo la Tegeta wazo, Dar es Salaam
Zoezi la Uokoaji linaendelea huku Taarifa za awali zikisema Watu 3 wamepoteza Maisha
Hatari sana bwasheeHizi accidents za Wazo , cement, Tegeta ni kila "siku", nobody cares! Makalla, sema neno basi au ndiyo hivyo kidumu chama kile kile cha mapinduzi
Nini kifanyike? Na askari hawakagui magari wao wanaangalia uwezekano wa kupata pesa na faini.Ni kweli lakini kwa nchi kama Tanzania hasa jiji la Dar, uzembe unasababisha vifo vya ajali za magari vingi sana. Haya yote yanaweza kabisa kupunguzwa kabisa. Hayo malori mengi ni mabovu lakini bado utashangaa yako barabarani na yanakwenda mwendo wa kasi sana.
Wanasiasa wa Tanzania hasa chama tawala wamekuwa matapeli kiasi cha wananchi kudhani kuwa siasa ni utapeli. Huwezi kukwepa siasa kwenye mipango ya nchi. Viongozi wanaochaguliwa na wananchi ndiyo huweka mazingira ya wataalam kupanga mipango. Bila kuwa na viongozi wenye vision na wachapakazi huwezi kupanga mpango wowote. Unaweka na eg mkuu wa wilaya changudoa, aliyepata ukuu wa wilaya kwa sababu ya kuwa nyumba ndogo ya kiongozi halafu unategea miujiza ya ''mipango ya muda mrefu''?Nini kifanyike? Na askari hawakagui magari wao wanaangalia uwezekano wa kupata pesa na faini.
Mambo kama haya yanahitaji mipango ya muda mrefu ambayo haina siasa.