Dar: Maandamano ya ACT Wazalendo kuelekea Ikulu kushinikiza waliotajwa wizi kwenye ripoti ya CAG kuchukuliwa hatua

Hakuna chama Cha upinzani nchi hii kwa sasa chenye uwezo wakukusanya hata raia mia mbili. Wote wezi tu km mama zao ccm
 
ACT Ni CCM (b) Ushawahi kuona maandamano ya CCM yakawa na mvuto?
Ukiona RPC Kanda maalum hajaongea chochote kuhusu maandamano hayo, endelea na shughuli zako.
 

Kwa maelezo yako Hakuna wizi wowote?. Tuache kutetea ufisadi kwa kulaaumu wabunge au wapinzani. Report imeonesha upigaji mwingi serikalini halafu unakuja kutetea. Siku nyingine hiyo report muisome huko vyumbani msitutangazie wanananchi.
 

Asante Sana kwa analysis nzuri.
 
Umeongea ukweli Mchungu

CHADEMA msingi yake ni confrontation politics. Sasa tunapelekwa kwenye mediation politics. Huu ndio muda wa kurudi kwenye asili yetu tupambane mpaka wanannchi waelewe kuwa tunawapigania. Tuanze na Dodoma tufanye maandamano yasiyo na kikomo.
 
Wanajisumbua kwa raisi huyu 🤣🤣🤣hataki stress anaiendesha nchi kizungu,ambapo machinery za uwajibikaj ziko open na zinafanya kazi🤔tuwe wapole apparatus zetu ziko vizuri kufanyia kazi ripoti ya cag 🤣🤣🤔
 
ACT ni CUF iliyochangamka kwa hiyo hamna jipya hapo labda rangi ya jezi zao tu
 
Hakuna chama Cha upinzani nchi hii kwa sasa chenye uwezo wakukusanya hata raia mia mbili. Wote wezi tu km mama zao ccm
Wamekuibia nini?. Report ya CAG imeipatia CHADEMA hati Safi. Wewe unadai ni wezi. Tatizo tunaitetea CCM kwa kujificha kwenye mgongo wa upinzani, wakati upinzani hawapo bungeni wala halmashauri. Sasa wanaomuibia serikalini, bungeni na halmashauri unawaona wa maana. Tuna safari ndefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…