Dar: Maandamano ya ACT Wazalendo kuelekea Ikulu kushinikiza waliotajwa wizi kwenye ripoti ya CAG kuchukuliwa hatua

CCM nao lini wanaandamana ili kumshinikiza Mwenyekiti wao amfukuze CAG kwa kuibua "Ulaji" wao?
 
Wapinzani wa Tz hawana ushirikiano baina yao.

econonist zitto junior JokaKuu Bams
 
CHADEMA tunalemazwa na Mbowe. Niwe mkweli. Ilitakiwa maandamano yaitishwe na CHADEMA baada ya siku tatu kupita. Ila wapo kimya.
Wewe na Tindo ni miongoni mwa wahafidhina msioridhishwa na uongozi wa Mbowe hapo Cdm, ila kumbukeni mchango wa Mbowe kwa Cdm unahusika pakubwa kwenye kukifanya hichi chama kuwa chama kikuu cha upinzani.
Bams zitto junior
 
ACT kinapambana sana kuwa chama kikuu cha upinzani. Wakiendelea hivi chini ya miaka mitatu ijayo watakuwa wameshaipiku CHADEMA hasa hii ya sasa.

Maandamano yana nia nzuri sana sema mwamko wa Watanzania ndiyo zero....

View attachment 2591675
ACT na CUF ya Lipumba mko kwenye kapu moja la takataka za ccm.
Mnabebwa kuikomoa chadema lkn hata nyie wenyewe mnaujua mziki chadema ikitangaza maandamano.
 
Kwa jinsi watanzania tulivyo, hapo uko kitandani umejifunika na duvet, unaandamana Kwa simu🀣🀣
Watanzania labda tutaandamana siku mafuriko yakiingia kwenye nyumba zetu, manake tutakuwa hatuna Kwa kujificha.
Hivi duveti ni nini?!..
 
ACT na CUF ya Lipumba mko kwenye kapu moja la takataka za ccm.
Mnabebwa kuikomoa chadema lkn hata nyie wenyewe mnaujua mziki chadema ikitangaza maandamano.
Chadema hii hii ya buyu la asali
 
Kwa mchoro huu naona wamesahau kuweka point namba 10 itakua ni lock-up..[emoji1787]
Mama ni mpole hawezi kuwaweka lock-up bana. Sana sana atawapokea ikulu na kuwapongeza kwa kutimiza takwa lao la kikatiba. Na wakimzingua wataishia tu kuitwa stupid basi [emoji16][emoji16]
 
Mna uhakakika kwamba Mh. Rais yuko Ikulu ya Magogoni?
 
Wewe na Tindo ni miongoni mwa wahafidhina msioridhishwa na uongozi wa Mbowe hapo Cdm, ila kumbukeni mchango wa Mbowe kwa Cdm unahusika pakubwa kwenye kukifanya hichi chama kuwa chama kikuu cha upinzani.
Bams zitto junior

Hatubezi mchango wake, ila wakati ukuta. Angekufa na chama kingekufa? Hakuna succession plan huko CDM?
 
Kimenuka !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…