Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani sana niwe nyapara nikamfanyizie ikiwezekana nimpenyezee kijinga cha motoKipind mbowe ananyimwa dhamana Ile kesi yake ya ugaidi,
Dr.slaa alisema,
"Tuache mahakama ifanye Kazi yake"
Na kwaSababu na yeye ana kesi anayonyimwa dhamana,
Kwa pamoja tunasema,
"Tuache mahakama ifanye Kazi yake"
Dawa ya moto ni moto!! Zile kauli Za Slaa zilikua Za uuaji kwa Mbowe! Wacha anywee kikombe alichojiandalia…….. ukiua kwa upanga utakufa kwa upangaKitu unachofanya ni kukiri kuwa mahakama zinafanya kazi kwa kukomoa na siyo kufuata sheria. Na hii inazidi kudhihirisha kuwa mwafrika (mtu mweusi) hajafikia level ya kujiongoza mwenyewe kama walivyokuwa wanasema wakoloni. Haiwezekani serikali iingie kwenye mchezo wa kukomoa badala ya kuongoza. Na zaidi tuna rais shangingi asiyejua ABC za uongozi. Madhara ya huu ujinga yatakwenda mbali na yatawapata watu wote bila kujali dini, jinsia wala chama.
Kuna uamuzi wa mahakama kuu ndio umekatiwa rufaa
Vikwazo vya kiuchumi na vya kusafiri Kwa Ndugu wa baadhi ya viongozi, huanza pole pole ili watu waishi kwa kufuata Sheria , hawaingili Mahakama zenu, Bali wanaonyesha kuchukizwa na tabia ambazo haziendani na utu.Natamani sana niwe nyapara nikamfanyizie ikiwezekana nimpenyezee kijinga cha moto
Duh....Bado lissu lazima tumkamue ule usaha uliojaza tumbo lake
Kwa hiyo amekamatwa kwa kumbomoa mbowe?Slaa alipokua akiropoka mambo ya hovyo kumbomoa Mbowe mlitaka aishi tu sio? Kwahyo Slaa Ana haki ya kuumiza wengine??
Ulimezeshwa ujinga huo na bosi wako Alpha na OmegaDokta silaa ni mpuuzi aliyewasaliti watanzania katikati ya mapambano acha avune alichopanda.
Mbowe keshagalagazwa, hakuna tena njia nyingineDawa ya moto ni moto!! Zile kauli Za Slaa zilikua Za uuaji kwa Mbowe! Wacha anywee kikombe alichojiandalia…….. ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga
Nchi husimamia na kuongozwa kwa kanuni na sheria na siyo hisia binafsi za viongozi. Afrika ipo hapa ilipo kwa sababu ya mawazo kama yako i.e viongozi kuongoza nchi kwa hisia na visasi na siyo sheria halali. Wastaarabu hufuata kanuni au sheria walizojiwekea hata kama hawazipendi au wana nafasi ya kulipiza kisasi.Dawa ya moto ni moto!! Zile kauli Za Slaa zilikua Za uuaji kwa Mbowe! Wacha anywee kikombe alichojiandalia…….. ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga
Atajua mwenyeweKwa mtu mwenye busara hawezi kutoa hoja mfu namna hiyo. Hakuna uadui wa kudumu katika siasa
Huyo jamaa bado ana chuki na Lissu baada ya Mbowe kushindwa uchaguziWewe Mbowe amekulalamikia?
Ulikuwa mdogo kipindi silaa anasema mbowe ni gaidi na mahakama isimuachilie? Ulikuwa mdogo kipindi Magufuli anavunja Sheria na Silaa anasema nchi IPO pazuri? Ulikuwa mdogo wakati Silaa anasema zuio la mikutano ya kisiasa dhidi ya vyama vya upinzani ni sawa kisheria? Acha upumbavu silaa ni mpuuziHuu ndiyo ujinga uliopitiliza. Ukishaona mtu anashangalia sheria kuvunjwa basi hana tofauti na mwehu kwa sababu madhara yake yanakwenda mbali.
Na sisi tunapenda ugumuKuingilia lissu swala hili limezidi kuwa gumu
Aliamua kuungana na watesi wake. Sema ni ubinadamu tu utufanya kumuinea huruma huyu mzee. Vinginevyo tungemuacha tu amalizane na watesi wake aliowakimbilia.Dokta silaa ni mpuuzi aliyewasaliti watanzania katikati ya mapambano acha avune alichopanda.
Nakazia,dr slaa Ni mpuuzi aliyetukukaUlikuwa mdogo kipindi silaa anasema mbowe ni gaidi na mahakama isimuachilie? Ulikuwa mdogo kipindi Magufuli anavunja Sheria na Silaa anasema nchi IPO pazuri? Ulikuwa mdogo wakati Silaa anasema zuio la mikutano ya kisiasa dhidi ya vyama vya upinzani ni sawa kisheria? Acha upumbavu silaa ni mpuuzi
Kuna Watu WA kuonewa huruma,Aliamua kuungana na watesi wake. Sema ni ubinadamu tu utufanya kumuinea huruma huyu mzee. Vinginevyo tungemuacha tu amalizane na watesi wake aliowakimbilia.
Slaa aache mdomo mchafu.Ajitambue yeye ni Babu sasa