The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
Nimesema kwenye maoni yangu hapo juu...Asante kwa mchango wako. Mwisho wa siku Wananchi wa kawaida ndo wanataabika. Unashauri nini kifanyike ili kujiondoa tulipo kwama?
Kwamba;
1. Short term solution ni hiyo uliyopendekeza wewe, utafutwe uwezekano kuyabadili maji ya bahari yatumike kwa matumizi ya binadamu na viwandani kwa kutumia teknolojia ya Salinization bila kujali gharama..
2. Long term solution ni watanzania tukubali na tuhamasike kusukuma mabadiliko ya mfumo wa kiutawala na kisiasa wa nchi yetu kwa kuandika Katiba mpya ya wananchi ili kuleta uwajibikaji serious wa kila kiongozi anayepewa dhamana ya ku-serve wananchi...