Dar: Maji ya Bahari yafanyiwe Desalination tuyanywe

Asante kwa mchango wako. Mwisho wa siku Wananchi wa kawaida ndo wanataabika. Unashauri nini kifanyike ili kujiondoa tulipo kwama?
Nimesema kwenye maoni yangu hapo juu...

Kwamba;

1. Short term solution ni hiyo uliyopendekeza wewe, utafutwe uwezekano kuyabadili maji ya bahari yatumike kwa matumizi ya binadamu na viwandani kwa kutumia teknolojia ya Salinization bila kujali gharama..

2. Long term solution ni watanzania tukubali na tuhamasike kusukuma mabadiliko ya mfumo wa kiutawala na kisiasa wa nchi yetu kwa kuandika Katiba mpya ya wananchi ili kuleta uwajibikaji serious wa kila kiongozi anayepewa dhamana ya ku-serve wananchi...
 
Kwa jinsi mambo yalivyo hilo wazo likitekelezwa hatuchelewi kuambiwa kina cha bahari kimeshuka halafu meli zimeshindwa kuja na kupunguza mapato ya bandari...janja janja iko nyingi sana🐒
 
Kama kuna mtu anafahamu inavyotengenezwa gongo basi huu mradi aliousema mkuu hapo ni rahisi wachukulie yale yale matilio ya mtambo wa gongo coz pale unavunwa mvuke then unabadilishwa kuwa kimiminika na hapo utachukuliwa mvuke wa maji ya bahari utabadilishwa kuwa kimiminika kwanza watapata faida mbili
1.watapata maji safi na salama yalio chemshwa hayahitaji hada dawa ya kuuwa vijidudu
2.watapata chumvi safi ya kupikia
nawasilisha
 
Nyie si ikifika msimu wa uchaguzi mnapewa vijora na kanzu mnaanza kuimba "wacha waandamane, wataisoma namba"
Saivi kwenye namba tunaisoma wote.
Mi nnaona wacha maji yakosekane kwani Kuna shida gani,?Kuna mijitu mikubwa humu miaka inazidi kusonga na Bado linainjoy na linaionea huruma rangi ya kijani utadhani lilizalliwa garden kwenye majani
Haya ndio yametuletea huu umasikini
Lisa limepewa buiu kumi ligawane na mwenzake kesho yanaenda kuwarudisha madarakani
Ujinga
 
Upo sahihi
 
Tumelala
 
kuna kampuni XX ya kuuza maji leo nmeenda dukani kununua maji nmepata kama lita na nusu kwa jelo ila hyo ladha ya maji unajua kabisa haya ni maji ya bahari
 
kuna kampuni XX ya kuuza maji leo nmeenda dukani kununua maji nmepata kama lita na nusu kwa jelo ila hyo ladha ya maji unajua kabisa haya ni maji ya bahari
Hyo itakuwa AZAM maana bakhresa yeye anasema anauza chupa na sio maji maana ni haram kuuza maji ndio maana anauzia watu maji ya chumvi
 
Bunge la wakina Babu tale [emoji1]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…