Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mkuu polisi wetu lazima waanze kufanya kazi na ssikolojia ya forensic experts na si kwa saikolojia ya kutoa vipigo vya mbwa koko.kama kweli ni wwzungu na ni maprofesheno kama ulivyo sema basi kesha fikishwa black sites watampataje? maana utendaji wa vijana wetu huku upo kimazoea mnoo
Ina maana unajua kabisa akiongea lazima atakosea, tunahitaji viongozi wanaojiamini mbele ya wananchi wao, of course akikosea tunamsahihisha ndio ustaarabu ulivyo.Ninyi watu wa ajabu sana...! Makonda kazunguza kidogo mumtie kaa la moto mdomoni...huku mkitaka akae kimya vyombo vya usalama vifanye kazi yake na ili ushahidi usivurugige...hakuja kucha sawa sawa mnamtaka Mh. Lugola aseme..ili mpate cha kuzungumza kwa kebehi...what is wrong with you, 'people'!?
Mimi ni mwanaume mkuuBinti unaingia saa ngapi darasani au unasubiri mtihani wa kuletewa!
Yani kutorosha mtu kwa boti ni mbinu ya kimataifa?,aisee unaishi wapi wewe,Kumtoroshea Baharini kwa speed boat kwenda nchi nyingine wanaoweza kufanya kitu kama hiki ni Internationally organized criminal groups au majasusi tu na si nje ya hapo. Akili yangu inakataa majambazi wa kawaida wa nchini kwetu kuemploy mbinu kama hizi! And of course lazima jamaa wametumia akili nyingi katika kusuka na kutekeleza uhalifu kama huu.
Kwa kauli hizi...nina anza kuwa na imani kuwa mnataka kuvuruga 'upatikanaji' wa Mo. Achanie, wanausalama wafanye kazi yao. Unajambo litakalowezesha kupatikana kwa mtanzania huyu wapelekee wanausalama haraka sana.Ina maana unajua kabisa akiongea lazima atakosea, tunahitaji viongozi wanaojiamini mbele ya wananchi wao, of course akikosea tunamsahihisha ndio ustaarabu ulivyo.
Naanza kuelewa,tusije skia mtu yupo somaliaChavda aliwahi kukimbia na speed boat hapa enzi za Mwinyi au Mkapa na akatokomea, Pia kuna kisa cha boat moja ikijulikana kama seaexpress au butterfly (hapa sikumbuki vizuri jina) jamaa walikuwa wanadaiwa kodi nyingi sana lakini siku moja waliipandisha boti yao pale posta kwa ajili ya matengenezo na walipoenda for sea trial jamaa wakatokomea na walipojaribu kufuatwa hawakuonekana taarifa zikatoka kwa polisi wa Kenya/Mombasa kuwa jamaa walishakatiza maeneo ya Somalia muda mrefu sana. Hili la MO najaribu hata mimi kulifikiria katika angle hiyo kama kweli wale ni watekaji wenye shida naye kweli lazima watakuwa wametumia njia hiyo ndio maana strategically lazima atekwe maeneo ya oysterbay ambapo fukwe ziko karibu na wao ni rahisi kupark speed boat yao yenye horse power za kutosha, ukiwa na boat yenye horse power za kutosha kutoboa hapo ukanda wa Somalia, Yemen ni kugusa tu.
Kuna watu sijui ni ugumu wa maisha!!? Yaani we unamuona Mo ni sawa na wewe? Hili kweli linashangaza?? Ulitegemea Mo atekwe alafu habari iishie hapo kwenu Missenyi?
Mo ni international figure. Sasa ajabu iko wapi kuona BBC, CNN, n.k kwao inakuwa habari kubwa??
Inaelekea hata Diamond akipotea ghafla utakuja kuuliza maswali yako haya haya ya kilevi
Bunduki bila ujuzi ni sawa na rungu tuNa vile vibunduki sidhani hata kama huwa vina risasi. Unakuta hotel nzuri eti mlinzi analinda na kirungu.
Umevurugika!
Angalau Lukuvi anafanya vitu vinaonekana na vile vile angalau mkuu wa mkoa Simiyu sijui anaitwa nani.Kwa serikali ya awamu hii hakuna hata mmoja mwenye kufanya jambo kitaaluma zaidi ya mihemko inayochagizwa kwa kulinda maslahi binafsi
Anthony MtakaAngalau Lukuvi anafanya vitu vinaonekana na vile vile angalau mkuu wa mkoa Simiyu sijui anaitwa nani.
Yani kutorosha mtu kwa boti ni mbinu ya kimataifa?,aisee unaishi wapi wewe,
Kiiiila siku watu wanatorosha mavitu makuuuuubwa kwa njia hii,na zinginezo,wanaingiza mizigo ya hatari fasta kila uchao,
Sijui unaongea nn ww,
Nimeisoma!Ushauri soma post #20 ambayo ilikuwa nakuquote post yako hii ila nikajichanganya nikareply hoja ya mleta mada
Nisamehe bure Mkuu!Mimi ni mwanaume mkuu
Waulize kwanza forensic expert ni nini?ukipata jibu wape kaziMkuu polisi wetu lazima waanze kufanya kazi na ssikolojia ya forensic experts na si kwa saikolojia ya kutoa vipigo vya mbwa koko.
Tangu lini majambazi wakateka mtu?! Au hata kama majambazi, je unafahamu level yao ya uhalifu? Unafahamu wanatoka wapi ili wakidhi hoja yako kwamba ni majambazi wa kawaida?Kumtoroshea Baharini kwa speed boat kwenda nchi nyingine wanaoweza kufanya kitu kama hiki ni Internationally organized criminal groups au majasusi tu na si nje ya hapo. Akili yangu inakataa majambazi wa kawaida wa nchini kwetu kuemploy mbinu kama hizi! And of course lazima jamaa wametumia akili nyingi katika kusuka na kutekeleza uhalifu kama huu.