Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaa daahhpamoja na hali yangu ya kichwa kuwa mbaya lakini mtoa mada unanizidi mbali sana
Tupo na mzee Lowassa hapa udsm tunajadili mwenendo wa chaguzi barani Afrika, karibu sana sangoma wa Ufipa!Kwasababu alikuwa ooh sorry ni mwanaccm
Mkuu labda naye anaugua ugonjwa wa Mwiguru (ajali ya gari Mbalizi)Binafsi sijamsikia kasemaje.
Unashauri nini kifanyike kumpata Mo akiwa hai!Kwa serikali ya awamu hii hakuna hata mmoja mwenye kufanya jambo kitaaluma zaidi ya mihemko inayochagizwa kwa kulinda maslahi binafsi
Aseee nimecheka kwa sauti mpk watu wamenishangaaHii Serikali imeshamfanyia kila mdau figisu.
Sasa Jiwe akikaa ofisini anawaza;
"Labda ni wakenya niliowachomea vifaranga vyao Moto......??"
"Au labda ni Barick wananihujumu....??"
"Au ni Sumaye niliyemnyang'anya shamba.....??"
"Hapana, itakuwa ni Mbowe maana yeye ndio nimemvurugia club nikaharibu na shamba....??"
"Au ni Lissu,maana huyu nae alikula risasi nyingiiii...??"
"Au Nape....??"
"Au Lema....??"
"Itakuwa Maalim Seif kwasababu naiua Cuf..??"
"Atakuwa nani huyuu.,..??"
"Au Manji...??"
"Rugemalila na Seth...???"
"Sijui itakuwa nani...???"
"Au wananchi tu wananihujumu...??"
"Ila ntalala nao mbeleee...!!"
hivi na yeye hakua na mguu wa kuku.
jiwe dogo mkuuMropokaji jiwe hashindwi kufanya unyama ule maana hana mshipa wa aibu
Hakuna mpya badoJAMANI MWENYE ACCESS NA MILLADI AYO BLOG AANGALIE, NASIKIA KM KALIPOTIWA KUPATIKANA, PLZZ CONFIRMUNI JMN
Nchi ya amani,Najiuliza swali hili baada ya kuona vyombo vikubwa vya habari duniani vikiwemo BBC, CNN, Al jazira, Xiua na Reuters vikiripoti na kulifuatilia kwa karibu tukio hili la utekaji lililotokea nchini mwetu!
Hii ni ya lini mkuu?Huyu ni mnyama wa mwitu hana ubinadamu hata kidogoView attachment 895321
Binti unaingia saa ngapi darasani au unasubiri mtihani wa kuletewa!Mropokaji jiwe hashindwi kufanya unyama ule maana hana mshipa wa aibu
Kuna watu sijui ni ugumu wa maisha!!? Yaani we unamuona Mo ni sawa na wewe? Hili kweli linashangaza?? Ulitegemea Mo atekwe alafu habari iishie hapo kwenu Missenyi?
Mo ni international figure. Sasa ajabu iko wapi kuona BBC, CNN, n.k kwao inakuwa habari kubwa??
Inaelekea hata Diamond akipotea ghafla utakuja kuuliza maswali yako haya haya ya kilevi
Zipi?!......zitaje!Write your reply... Aiseeeee hili nalo ni suala la kujiuliza? KWELI.....nadhani unatania Mkuu, sababu zipo wazi SANA
Ushauri soma post #20 ambayo ilikuwa nakuquote post yako hii ila nikajichanganya nikareply hoja ya mleta madaUnashauri nini kifanyike kumpata Mo akiwa hai!