TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
Imekaajee hiii wadau aingii akilini billionaire namba 4 Africa anatekwa kama chupa ya Chai kiasi kama hiki yani hata dereva hana dah
Hivi ameshindwa kutembea na wapambe japo 4 kwenye safari zake japo kigari kimoja nyuma chengine mbele
Sema nn kumbe ukizaliwa ushuwani unajisahau kiasi hiki?
Sisi tunaotokea pangu pakavu tukiziotea aiseee naweza hata kukodi company 7 za ulinzi zinilinde nikienda bataz na totoz...
Bongo nyoso
Hivi ameshindwa kutembea na wapambe japo 4 kwenye safari zake japo kigari kimoja nyuma chengine mbele
Sema nn kumbe ukizaliwa ushuwani unajisahau kiasi hiki?
Sisi tunaotokea pangu pakavu tukiziotea aiseee naweza hata kukodi company 7 za ulinzi zinilinde nikienda bataz na totoz...
Bongo nyoso