Mkuu kwani polisi ni adui zetu?Kuwa makini mkuu na kauli zako hizo, utajikuta mikononi mwa polisi
Hahahaha japo sijawahi seat ya dereva.. Mi pia nmwshangaa hana hata mabodigadi jmn anatia aibu mtu tajiri namna ile.Imekaajee hiii wadau aingii akilini billionaire namba 4 Africa anatekwa kama chupa ya Chai kiasi kama hiki yani hata dereva hana dah
Hivi ameshindwa kutembea na wapambe japo 4 kwenye safari zake japo kigari kimoja chuma chengine mbele
Sema nn kumbe ukizaliwa ushuwani unajisahau kiasi hiki?
Sisi tunaotokea pangu pakavu tukiziotea aiseee naweza hata kukodi company 7 za ulinzi zinilinde nikienda bataz na totoz...
Bongo nyoso
Hizo "pengine pengine" ndizo assumption zenyewe ambazo nami nilianza kwa kusema "tuna-assume!"Umejuaje kama hawana ugomvi? Mo nimfanyabiashara mkubwa pengine biashara zake zinaumafia ndani yake, pengine huo umafia bosi kubwa hataki. Kuna post jamaa alipost kwamba anamdai mtu flani na Mo anasema urafiki unakaribia kufa kwa sababu ya hilo deni! Sasa kwa akili ndogo kabisa unafikiri ni nani aliye mkopa mtu kama Mo?
Imekaajee hiii wadau aingii akilini billionaire namba 4 Africa anatekwa kama chupa ya Chai kiasi kama hiki yani hata dereva hana dah
Hivi ameshindwa kutembea na wapambe japo 4 kwenye safari zake japo kigari kimoja chuma chengine mbele
Sema nn kumbe ukizaliwa ushuwani unajisahau kiasi hiki?
Sisi tunaotokea pangu pakavu tukiziotea aiseee naweza hata kukodi company 7 za ulinzi zinilinde nikienda bataz na totoz...
Bongo nyoso
wewe unayk utuwekee hapa?Mods wameshikwa vidole... No update..... Nirudi BBC
NENO WALAHIWewe ungepotea India unafikiri Wahindi wangepoteza muda na wewe? Kwanza hata kaburi la kuzikwa wangegoma kukupa. Angalia maisha yako na watu wako, huyo ni bilionea hata akifa Ukoo wake kote mpaka India hawana shida!
Aliyekuwa akipayuka / akizoza hovyo kutwa nzima jana leo umemwona tena ' Mubashara ' katika Media au huku Majumbani mwetu katika Mitandao ya Kijamii ' akibwatuka ' hovyo na ' milonjo ' yake? Naomba niishie hapa tafadhali.
Familia wamesema wamemuachia Mungu kuhusu Zitto na January sidhani kama matamko yao juu ya hili swala itasaidia jamaa kupatikana..
MO mungu akulinde uludi salama....wanaSIMBA na wananchi wote kwa ujumla tushakukumbuka.....
Ndio maana mmemtekaWe huna hela tulia, kutafuta atafute yeye kupanga matumizi umpangie wewe