Juma chitende
Member
- Oct 3, 2018
- 42
- 7
Hii sasa ni too much,kamanda Wa police MKOA DCM aweze kufunga mipaka ya nchi yote.hii ndo tz,ukishindwa kuona ya Mussa lazima utaona ya firauniKamanda wa Polisi Mkoa amefunga mipaka yote ya nchi.!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sasa ni too much,kamanda Wa police MKOA DCM aweze kufunga mipaka ya nchi yote.hii ndo tz,ukishindwa kuona ya Mussa lazima utaona ya firauniKamanda wa Polisi Mkoa amefunga mipaka yote ya nchi.!!?
Umejuaje ni wageni .Tanzania aina watu weupe !!?? Tusubiri kwanza wakamatwe ndio tuanze kujadiliBado tuna changamoto kama wageni wanakuja nchini na kumiliki silaha au wameingia Nazo hatujui ni veeepe.
Tuwaachie polisi wafanye kazi yao vizuri.
Ramli inasemajeDah tunaletewa movie nyingine
.sijui itakuwa na part 2?
.sijui itachezwa kwa ustadi au itafanana na zile nyingine?
.sijui inataka kumpa kiki nani ?
Wakati utasema...stay tuned....!!!!
Kuna siku watatia nanga JF pia![emoji847][emoji847][emoji847]Hawa watu hawa ! labda wakimbie aiseeee !!
Nae anajiiona kama bashiteKamanda wa Polisi Mkoa amefunga mipaka yote ya nchi.!!?
Wewe watakukamata kirahisi sana. Kama kenge.Kuna siku watatia nang'a JF pia![emoji847][emoji847][emoji847]
Hajapatikana badoRamli inasemaje
Ndiyo maana kuna jamaa kasema hapo juu they are so stupid!Hivi kwanza ni kwanini Polisi wame-conclude kwamba tukio limefanywa na raia wa kigeni..? Halafu kama hizo gari zimenaswa kwenye cctv, wameshindwa kuzisambaza picha in case kuna raia anaweza kuyatambua..?
[emoji16][emoji16][emoji16]Wewe watakukamata kirahisi sana. Kama kenge.
Wanakutumia demu mwenye chura pm
Inaogofya ati! Mpka lini hii hali? Ccm walikuwa wanadai watu wanajuteka, vipi huyu nae kajiteka?Hajapatikana bado
Tusijitoe akili hiyo.Umejuaje ni wageni .Tanzania aina watu weupe !!?? Tusubiri kwanza wakamatwe ndio tuanze kujadili
Ilipofikia tusaidiwe tu na wenzetu wa nchi za nje walioendelea katika matukio aina hii ili wahusika wakome na kuchukuliwa hatua stahiki maana mficha maradhi... ama tusipoziba ufa... Hakuna hata mmoja atakayeishi milele, na tusome sana maandiko, dua na maombezi kwa wingi.Habari nzito kama hii,abgekuwa nani ndo ingekuwa nyepesi?
Zakaria taarifa yake ilitolewa na polisi?
Ya Roma mkatoliki ilitolewa na Polisi?
Ya Masoud kipanya ilitolewa na Polisi?
Ya Ben saa nane ilitolewa na polisi?
Ya Tundu Lissu ilitolewa na polisi?
Ya Hussein Bashe na Msukuma Dodoma ilitolewa na Polisi???
Nguvu ya social networks ni kubwa sana,kama kila habari ingesubiriwa kutolewa na polisi,hasa habari kama hizi,basi yote hayo hapo juu,kamwe tusingeweza kuyajua!!!