Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Hiyo No.6 ni tatizo kubwa kwenye matukio kama haya. Kumbuka katika tukio hili mtu huyohuyo alitoa taarifa kwamba Mo ameshapatina kitu ambacho siyo kweli. Kachukuliwa hatua gani kwa kusababisha mkanganyiko huo? Huyu haguswi ingawaje siyo mtu makini kwenye matukio anayoshiriki. Ni mtu ambaye hawezi kuficha vitendo dhanifu vya uhalifu (conduct) baada ya kutenda.
 
Mo hapendagi makuuu...anaweza ata kula ugali dagaa/maharagwe na wafanyakazi wakeee..
Ni kweli ndugu,
Hapajawahi kutokea tajiri kijana na anayejishusha kama MO,
Kazini tunaishi naye kama mfanyakazi wa kawaida. ukiacha baadhi ya siku anazokuwa siriazi kidogo.
Mpirani tunashangilia naye pamoja, na wanaoomba kupiga picha naye anawakubalia tu.
Katika masula ya kijamii tupo naye bega kwa bega
Hakika MO ni mtu wa watu sana ndio maana hatembei na walinzi muda wote.
Matajiri wengi wanajifungia na hawaonekani, wanajitenga na watu hasa wa kima cha chini lakini MO, anatutembelea huku mtaani mara kwa mara.
Tunakula naye na kucheza naye na kutaniana naye.
Kwa kweli tunaviomba vyombo vya ulinzi na usalama vijitahidi kumpata ndugu yetu MO.
MO anamchango mkubwa kwa taifa hili.
Ninauhakia analipa kodi kubwa, na pia ameajiri watanzania wengi sana, na ni mfadhiri wa mambo mengi ya wananchi.
Nina uhakika mkono wa dola ya serikari yetu una nguvu kubwa ya kumpata MO.
Tuna imani na Serikali yetu.
 
Kuna Makosa kadhaa Vyombo vyetu vya Ulinzi huwa wanafanya wanapo report Matukio

Kutaja udhaifu wa ushahidi uliokusanya ni kosa kubwa Sana Kwa wenye ujuzi kiasi wa Masuala hayo


Kutangaza Kuwa CCTV Camera hazioneshi Vizuri sura Za Watuhumiwa
Hazioneshi Mlango walioingilia n.k maana yake unawafanya wahalifu watuambie udhaifu uliopo kwny collected evidence Na hivyo kujipanga kutokea hapo Na Pia Hata suspect utakaowakamata kuanzia Leo watajua Kwa kiasi gani kuna udhaifu kwny ushahidi mlionao!

Kwa Mfano Kama wahalifu Ni waarabu/ Wahindi Au wachina lakin nyie mme tangaza Kuwa Ni Wazungu maana yake tayari washajua mpo off point hivyo wanaweza kuchomoka kirahisi

Tusiwape Fursa Wanasiasa Kuwa wasemaji wa Masuala haya Kwa Kuwa kuna taarifa zingine Ni muhimu Kwa wakati Fulani but sio for public consumption Kwa wakati huo

Kwenye Shambulio la 7th August, 1998 pallet Ubalozi wa America Ally Hassan Mwinyi Road walipata evidence nyingi Sana Za awali lakin hawaku expose chochote bali tulikuja kujua Baada ya Khalifa Mohamed kukamatwa Bungoni Ilala Na kupelekwa America Na kuja kugundulika Mengi wakati kesi inaendelea


Kuanza kufafanua features Za collected evidence Ni kosa kubwa Sana tunafanya Kwa Kujua Au kutojua

Unapotaja mbinu walizotumia wahalifu hadharan maana yake unatoa Semina Elekezi Kwa wahalifu wengine waige bila ya kutambua
Mzee baba unafananisha USA na ushuzi wa tz ..
 
Ccm ndo wanahusika hapo hakuna jipya
Unasema?
_20181008_094042.JPG
 
Duh!Watu wasioujulikana hao bila shaka!

Hii nchi sasa!!

Walitekwa na kupotea watu wa kawaida, tukaona ni mambo madogo.Leo wanatekwa matajjri na watu maarufu labda sasa ndio tutashituka.

Nakumbuka pia yaliompata Lissu na mfanyabiashara wa Tarime bwana Zakaria.

Wacha tusubiri tuone nini kinaendelea tutapata picha kamili.

Kwa sasa wanaweza kuwa wanapima upepo.Pressure ikiwa kubwa,wanaweza kumwachia ikiwa mpaka sasa bado yuko salama.

Hii update kuwa katekwa na wazungu,inanipa maswali mengi sana na mojawapo ni wazungu gani hao wa kumteka mtu tajiri kama huyo tena wakiwa katika nchi ya watu?

Wanajiamini nini?
Moyoni mwako una jambo unalotaka kulisema lakini unashindwa. Kuna kitu gani cha kushangaza kwamba ametekwa na watu wasiojulikana? Kama wewe unawajua si uwataje? Hapo hapo polisi wamesema kuna Wazungu wanaotuhumiwa kuhusika na utekaji huo. Wewe unakanusha vikali habari hiyo kama vile una uhakika Mzungu hawezi kufanya hivyo. Huu ni upungufu wa fikra kuanza kushabikia kitu ambacho wala huna habari kamilifu kuhusiana na suala husika.
 
Ukitumia akili ya ziada unagundua ni kwa jinsi gani siku za karibuni Bashite amekuwa akijiweka karibu sana na Simba. Ameweza kuwa win confidence kiasi hata Simba day wanamualika kumbe ana lake jambo.
Kila aliyepatwa na dhahma alianza nao urafiki was nguvu sana. Ona Clouds! jee wasanii! Hata wale aliowataja madawa ya kulevya?
Huyo ni nyoka ndani ya Nyumba
 
Soko la mbaazi limeua sana uchumi wa wakulima hasa wa kwetu Ruvuma.
Kwa sasa
Gunia la mahindi linauzwa Tsh 20,000/
Dumla ya Mbaazi ilikuwa inauzwa Tsh 12,000/-
Hivyo Gunia la mbaazi liliuzwa zaidi ya Tsh 500,000/-
Kama ni ukweli Manji ndiye aliyekuwa ananunua Mbaazi basi jinsi alivyoshughulikiwa wakati ule ameathiri sana kipato cha wakulima wa kusini mwa Tanzania.
Leo Manji yupo huru, ina maana hakuwa na hatia.
Lakini wakulima wamekosa soko la mazao yao.
Hapo nani kapata hasara ?
Naiomba Serikali inapo washughurikia hawa matajiri wanao changia uchumi wa wa wananchi basi iwa shughulikie kwa STAHA.
Soko la mbaazi lilianza kuturudisha vijijini sisi tunao kwepa umasikini na kukimbilia mjini.
Tulianzisha mashamba vijijini, tukainua JEMBE, tena la mkono na tukanufaika.
Leo ni kilio kila mahali. Mbaazi inaozea mashambani, vijana wanakuja tena mjini kufafuta fulsa.
Jamani tunapo washugulikia hawa matajiri, basi tuwashughulike kwa staha.
Leo Manji yupo huru ila wakulima ndio wapo hoi.
Wakulima ndio wapo Jela Bosi yupo uraiani.
Jamani tunapo washughulikia hawa matajiri basi tuwashughulikie kwa staha.
Matajiri akina Manji, Bakhresa, Mengi, MO, Rostam Azizi na wengineo.
Naomba Radhi kama nimekosea mahali.
 
Tangu waseme wale police waliopiga watu ukonga hawakuwa police ni wahuni wna gari za pt tangu waseme risasi ilipigwa juuu ikakata kona huwa sinaga muda kumsikikiza mambosasa najichefua moyo bure
Mambosasa hafai kabisa na genge lake
 
Back
Top Bottom