Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Kwa wenzetu,muundo wa gari lilotumika,rangi yake ni lead tosha kabisa,undefinedmaana gari zote za muundo huo zitaorodheshwa na wataanza kunarrowdown hadi wanapata connection
 
Hili suala la mo limeivua serikali na polisi nguo kabisa.Probably hata uwezo wa kutafuta watu hawana so huko nyuma walikuwa wanaongea porojo ila ukweli umedhihirika kwa hili la mo usalama wa wananchi uko mikononi mwetu tusitegemee polisi wala serikali kufanya lolote.
Inakuwaje bilionea anapotea kirahisi hivi kwenye mazingira yale hatua chache wako 'suti',majumba ya viongozi wakubwa wakubwa hivi mwananchi alieko nyambureti atasemaje yuko salama????????????
 
Na hii mizaha hawataacha hadi pale kiongozi mmoja mkubwa sana atakapohifadhiwa kwa muda sehemu isiyojulikana.

Dreka,
They 've got it coming!
Walianza mizaha na kupuuza kila utekaji unapotokea kuwa unawahusu WAPINZANI!!Hakika mficha maradhi msiba utamwumbua!Yalikuwa yana kina Lissu,Ben,Azory,Wangwe,etc!Leo liko kwa Mo Dewji...who will be next?
 
Hatujamsahau yaani mi nalogin mitandao kuliko muda wowote japo nione habari njema ila hola binafsi sijawahi muona physically ila kaniumiza sana sana utadhani ndugu wa karibu .kweli dunia ni katiri sometimes
 
Wakianzia na konda inaweza kuwa vzr zaidi

I don trust this kondakta!
Angalia anavojichanganya kuhusu Mo issue!Mara aseme Mo keshapatikana yuko salama mara hajapatikana mara tutampata Mo akiwa salama kana kwamba anajua yuko mahali fulani....!!l wish I could be IGP!Konda angelikuwa suspect No.1!!!!

Ukiunganisha na matukio ya wale wanamuziki waliotekwa na konda akasema watapatikana ndani ya 2 days wakiwa salama salmin na ndivo ilivotokea!
Kuna watawala wako tayari kuumiza jamii ili kujikweza kisiasa.......nonsense!!
 
Dreka,
They 've got it coming!
Walianza mizaha na kupuuza kila utekaji unapotokea kwa unawahusu WAPINZANI!
Hakika mficha maradhi msiba utamwumbua!Yalikuwa yana kina Lissu,Ben,Azory,Wangwe,etc!Leo liko kwa Mo Dewji...who will be next?




Ndugu yako huyu huku anapewa kibano na Wahindi wewe unampigania Muhindi? Ni lazima utakuwa mgonjwa wa akili au labda umekulia uhindini umelelewa huko?

 
Tutaendelea kumtafuta MO na kuhakikisha watanzania wanapata majibu sahihi na majibu sahihi ni kwamba MO AMEPATIKANA NA WATEKAJI WAKE WAMEKAMATWA.

Tusipende ku twist maneno ili kufurahisha watu.
 
Kwa wenzetu,muundo wa gari lilotumika,rangi yake ni lead tosha kabisa,undefinedmaana gari zote za muundo huo zitaorodheshwa na wataanza kunarrowdown hadi wanapata connection
We nchi zetu bado tech ya wenzetu balaa niona juzi wanavyotumia image ku link hadi kupata passport photo ya mharifu sina uhakika kama tumefika hata robo. Kwetu nahsi wakichoka wanafunga file wenzetu hata second generation wanatoa data kama issue ni.mpya ili haki itemdeke
 
Tujiulize kama waliweza kuwapata au kutowapata waliomshambulia Lissu, waliomteka Roma, waliomteka Azory, waliompoteza Benny, waliomuua Akwilina, waliomteka na kumtesa Dr Ulimboka, walio muua Mawazo, waliomdhuru Kibanda, watu wanakutwa wamefungwa kwenye viroba nk Tukipata jibu ndio jibu la kutekwa kwa Mo
 
Hebu Ngoja nikae kimya nisije nikakufuru
Mtu akipotea mitaani pamoja na kuripoti polisi spika misikitini hutangaza kuwa yeyote atakayemwona apeleke taarifa kituo cha polisi au msikitini nk Kupotea mtu si kitu cha kuachia polisi tu
 
Tutaendelea kumtafuta MO na kuhakikisha watanzania wanapata majibu sahihi na majibu sahihi ni kwamba MO AMEPATIKANA NA WATEKAJI WAKE WAMEKAMATWA.

Tusipende ku twist maneno ili kufurahisha watu.
Hii kauli ni tata sana maana aliitoa lakini nafikiri ilikuwa ni kutuliza, japo kwa muda mfupi, mzuka wa wananchi.

Ila DAB aliwahi kusema Roma mkatoliki atapatika, na akapatikana. Mo pia atapatikana kwa neno la kiunabii la DAB!
 
Tutaendelea kumtafuta MO na kuhakikisha watanzania wanapata majibu sahihi na majibu sahihi ni kwamba MO AMEPATIKANA NA WATEKAJI WAKE WAMEKAMATWA.

Tusipende ku twist maneno ili kufurahisha watu.
True ndo alichomaanisha kuwa majibu sahihi yawe ni...amepatikana....Sio kuwa amepatakina
 
Haya basi sawa
Mtu akipotea mitaani pamoja na kuripoti polisi spika misikitini hutangaza kuwa yeyote atakayemwona apeleke taarifa kituo cha polisi au msikitini nk Kupotea mtu si kitu cha kuachia polisi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…