Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Mbona wasiojulikana waliomshambulia Lissu hawakuwa wamevaa mask na CCTV ziling'olewa muda mfupi baada ya Lissu kushambuliwa lakini hadi leo upelelezi haujaanza? Mkuu usitetee wauaji pasipo kutumia akili.
Sasa unaniuliza mimi kuhusu wahuaji wa Lissu kwani mimi niliwaona?

Halafu mimi napojibu hoja situmii maneno ya watu mtaani....mimi nasema kulingana na ripoti ya polisi.

Wewe ulijuaje kwamba hawakuvaa mask?Ulikuwepo kipindi cctv zinachukuliwa?
Ni lini ambapo shuhuda wa tukio au mhusika alihojiwa kwa ajili ya upelelezi?

Halafu maelezo yangu ya hapo juu ni wapi nimetetea wahalifu. Au unaandika tu kwa sababu unajua kuandika?

Mimi sio CHADEMA wala CCM siendeshwi na ulevi wa vyama vyenu hivyo...mimi najitegemea katika kuchambua mambo

Siendeshwi na hisia za wengi naendeshwa na akili yangu niliyopewa ya kupambanua mambo. Nadhani umenisoma.

ASANTE
 
Kajamaa kanaboa haka. 'Namaanisha wewe' halafu utakuta kamesoma, tena labda kapo kitengo. But ni keupe kichwani kama rangi ya magogoni.
 
Mipango dhalimu ya wasioitakia mema Tanzania... Tuendelee kuomba atapatikana yuhai
 
Kama ni drama, kwanini basi drama hiyo isifanyike huko unakodhani kama ni utekaji wa kweli ndo ungeweza kufanyika pasipo na risk?! Kwa sababu, drama ya kutekwa ingefanyika succesfully bila ya kuwa na hofu ya conuterattack na badala yake drama hiyo wanaenda kuifanya eneo ambalo kuna risk ya kuhatarisha filamu mzima!!!

Kuweka kumbukumbu sawa, hata Ben Saanane wapo waliosema amejiteka (drama)! Wkati taarifa za awali kuhusu Lissu kupigwa risasi, wapo pia waliosema ni kiki! ROMA nae watu walisema ni kiki! Naona nawe unajaribu kupita mle mle!
 
HUU MCHEZO MBAYA SANA, STOP 🛑 IT PLEASE.
WE ARE HERE ON EARTH [emoji288] FOR A SEASON.
BRING BACK OUR MO
 
Huu upuuzi wote wanini? Polc wanafanya kila wawezalo kumtafutaMo.
 
Mkuu kamera za cctv sio kutambua sura ya mtu peke yake, hata hio gari raia wakionenshwa kupitia hio cctv wataweza kuitambua na kusema labda waliwahi kuiona wapi mara mwisho au kuingia nyumba hipi mara kwa mara.

Haya mambo ni muhimu kuwekwa wazi kama polisi wanataka msaada wa wananchi.
 
Ndugu watanzania kama kawaida yetu wazee Wa matukio

Alianza Ben siku ya kwanza ya pili yavtatu ya nne tukamsahau mpaka Leo mwaka Wa pili unaelekea kuisha Ben hajulikani halipo na tumesahau kabisa

Akafuata Azory siku ya kwanza ya pili ya tatu ya NNE ya tano mpaka Leo azory tumemsahau na maisha yanaendelea

Sasa amefuata bilionea MO siku ya kwanza tukaongea siku ya pili tukaongea siku ya tatu tukaanza kusahau
Siku ya NNE nayo imepita

Kimasihara masihara hivihivi tumeanza kusahau na maisha yameanza kusonga kama kawa

Bado najiuliza Leo siku ya NNE hajapatikana na watanzania wameshaanza kusahau sasa hivi huyu atapatikana kweli au ndio Yale Yale ya akina Ben? Ngoja niishie hapa

TIME WILL TELL
 
Nakuhakikishia hii ndio turnining point kwenye haya masuala ya kutekana tekana kisoro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…