Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,546
Sasa unaniuliza mimi kuhusu wahuaji wa Lissu kwani mimi niliwaona?Mbona wasiojulikana waliomshambulia Lissu hawakuwa wamevaa mask na CCTV ziling'olewa muda mfupi baada ya Lissu kushambuliwa lakini hadi leo upelelezi haujaanza? Mkuu usitetee wauaji pasipo kutumia akili.
Halafu mimi napojibu hoja situmii maneno ya watu mtaani....mimi nasema kulingana na ripoti ya polisi.
Wewe ulijuaje kwamba hawakuvaa mask?Ulikuwepo kipindi cctv zinachukuliwa?
Ni lini ambapo shuhuda wa tukio au mhusika alihojiwa kwa ajili ya upelelezi?
Halafu maelezo yangu ya hapo juu ni wapi nimetetea wahalifu. Au unaandika tu kwa sababu unajua kuandika?
Mimi sio CHADEMA wala CCM siendeshwi na ulevi wa vyama vyenu hivyo...mimi najitegemea katika kuchambua mambo
Siendeshwi na hisia za wengi naendeshwa na akili yangu niliyopewa ya kupambanua mambo. Nadhani umenisoma.
ASANTE