Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Yule mfanyabiashara kule Tarime yeye aliwapiga Risasi bila msaada wa bodyguard iweje yeye ashindwe kujihami?
Sasa Mkuu watu wa Tarime na Dar si tofauti au?? na pia yule nadhani wananchi pale walikomaa akapata mwanya hapa Dar watu wakisikia hata tairi imebust wanatawanyika haraka sana sembuse risasi?
 
Nani kakwambia hao ni TISS??
Inaonekana kuna unalolijua wewe,tuanze na wewe ili utusaidie kujua ukweli wa jambo hili!

TISS!!!!!!!????????
 
.
 

Attachments

  • MV5BMjA3NTA1MjgwNV5BMl5BanBnXkFtZTcwMTgyMDExNA@@._V1_SX1472_CR0,0,1472,999_AL_.jpg
    164.7 KB · Views: 34
Njia pekee ya kuwakomesha wasiojulikana ni kuwatandika Risasi popote wanapojitokeza itawaogopesha waache kuonea watu.
We we, achazo habari! unaweza kuwapiga risasi kumbe alikuwemo mototo mpendwa wa mkuu ikawa balaa nchi itakalika???
 
Nissan nyeupe ni ya GSM na mpigaji Risasi ni yule kisanduku makapelo aliyemnyoshea nape bunduki na waratibu wa tukio ni Le mutuz, jerry muro, Msiba boss wao Bashite na wenzao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…