Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Taarifa kamili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu uwoga umetuingia ninawaza tu siku ya leo ikipita bado hajapatikana ohhhhhh noooYaan
MakondaChanzo cha habri?
Afadhali!Nimeona kwa millard ayo ni kweli amepatikana na watekaji wamedakwa
Sasa Mkuu watu wa Tarime na Dar si tofauti au?? na pia yule nadhani wananchi pale walikomaa akapata mwanya hapa Dar watu wakisikia hata tairi imebust wanatawanyika haraka sana sembuse risasi?Yule mfanyabiashara kule Tarime yeye aliwapiga Risasi bila msaada wa bodyguard iweje yeye ashindwe kujihami?
Nani kakwambia hao ni TISS??Kama "magenius" huko TISS wamewahi kuchemsha vichwa inabidi this time "wazichange" kisawasawa. Naiangalia kiuchumi, wawekezaji, jamii ya waasia na taswira inayoenda kukamilishwa vichwani mwa Watanzania. Rais wetu JPM nakuombea Mungu aseme na wewe ili uchukue hatua sahihi na kuokoa taswira ya Taifa letu na kama lengo ni kukuchafua "wachafue" . Tumuombee MO awe salama.
DaaaamnLe mutuz kampigia simu jamaa yake huku China akamwambia wamecheza Sinema asubuhi lakini anapata wasiwasi Sinema yenyewe haitauzika
YesAfadhali!
We we, achazo habari! unaweza kuwapiga risasi kumbe alikuwemo mototo mpendwa wa mkuu ikawa balaa nchi itakalika???Njia pekee ya kuwakomesha wasiojulikana ni kuwatandika Risasi popote wanapojitokeza itawaogopesha waache kuonea watu.
Nissan nyeupe ni ya GSM na mpigaji Risasi ni yule kisanduku makapelo aliyemnyoshea nape bunduki na waratibu wa tukio ni Le mutuz, jerry muro, Msiba boss wao Bashite na wenzaohaya kumekucha.. ngoja tuone.. watakavyojihusisha na tukio hili la MO maana tunavojua hili tukio halina tofauti na la ANTIPAS T LISSU. Sasa tuone ufatiliaji utakavyofanyika na hatimae tupate majibu kwa muda mfupi kuliko tunavotarajia.. japo kwa tukio la LISSU mpaka leo hiii hata hiyo NISSANI JEUPE halijapatikana hata ile taarifa ya camera kunyofolewa haijatolewa maelezo.