Ethical Ninja CEH
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 3,695
- 5,042
Mwenye mamlaka ya kutoa taarifa ni nani? Maana wanatuvuruga
Hahaha... Mimi ningeiitaMo : on ransom saga
HABARI MPYA: RC wa Dar Paul Makonda amekanusha taarifa za kupatikana mfanyabiashara Mohamed Dewji aliyetekwa leo asubuhi-MCL
Hata Bill alipokuwa anakula wali maharage Tanga hakuwa na walinziChibu anavijisent ana mlinzi, Mo ana mihela kupitiliza anatembea alone?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha... Mimi ningeiita
Mo: The Return of the Anonymous
Mbona mechi huangaliwa kwenye wengi watu hawaangalii kwenye tv peke yao majumbani, kwenye wengi ndipo hufanya mazoezi kwa bidii na kupata fursa ya kubadilishana maeazo na watu wengine, hata chai na chakula vipo majumbani lakini watu huenda kuchangia wenye mahoteli na migahawa.Ila kwa nni billionaire kama Mo dewij asiwe na gym kwnye makazi yake????
Tutajua ukweli tu... Hakuna marefu yasiyo Na nchauamini usiamini, hao ni watekelezaji tu, wahusika wapo na ni Wabongo kabsaa
tutaona mwisho wakeHABARI MPYA: RC wa Dar Paul Makonda amekanusha taarifa za kupatikana mfanyabiashara Mohamed Dewji aliyetekwa leo asubuhi-MCL
Khaaaaaa![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji86] [emoji86]
umejuaje ni wahuni?.Mo waliokuwa wamemkamata ni wahuni tu hawana connection na serikali wala
Season 2 ep4tutaona mwisho wake
Mmmmmh... kwani yy ndiyo kampata? au Sinema imeharibika baada ya kuratibiwa vibaya na Le mutuz na wenzaoHONGERA MKUU WANGU WA MKOA PAUL MAKONDA KWA JUHUDI ZAKO ZA KUMPATA MWANACHAMA MWENZETU
SIMBA NGUVU MOJAA
MAKONDA NGUVU MOJAA
Ukiwa na mlinzi huwezi kutekwa??Chibu anavijisent ana mlinzi, Mo ana mihela kupitiliza anatembea alone?