Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
mnooo i like the guyImeniuma sana...huwa ananiinsipire sana jamaa!
Marekani hawawezi kufunga JFK airport kwa sababu eti Jeff Bezos katekwa.
Yaaan mimi sina hamuYa leo kalii
Walinzi walitoka nduki..Something is not right here! Something fishy!
-Kulikuwa na purukushani yoyote?
-Kitu muhimu kwenye utekaji ni kuavoid attention, Kwa nini walipiga risasi juu?
- Collosium Gym hawana walinzi?
Bado walikuwa wana option nyingi tu salama. Hapa wana risk vitu vingi including biashara ya colesium ambao hawahusiki.
HahahahaaNilikua naperuzi kwa dada wa Taifa yy anamtuhumu Bashi boy ndo kubwa la maadui katika hii movie ya watu wasiojulikana Terminator part 4
Tushafika duniani.BBC NEWS
The man said to be Africa's youngest billionaire has been kidnapped by masked gunmen in Tanzania's main city Dar es Salaam, police say.
Mohammed Dewji, 43, was abducted outside a swanky hotel gym where he was going for his routine morning workout.
Three people have been arrested in connection with the incident and two of the abductors were believed to be foreign nationals, police added.
The motive for Mr Dewji's abduction is still unclear.
VIDEO: ITV BREAKING NEWS
Related Video on Youtube: mo dewji - YouTube
😂😂nacheka kama mazuri vile!!!Huyo huyo
Kulikuwa na purukushani yoyote? Kwanini walipiga risasi juu?Walinzi walitoka nduki..
Dada wa taifa nae atulie kwanza bana eboo!Nilikua naperuzi kwa dada wa Taifa yy anamtuhumu Bashi boy ndo kubwa la maadui katika hii movie ya watu wasiojulikana Terminator part 4
Unamaanisha Hollywood na Bongo movie???You must be sick, unafananisha Marekani na Bongo!!!