Me...nasikia ni mhindi lkn ana roho ya kizungu jamaa!mnooo i like the guy
Labda kutawanya watu wamchukue MTU wao bila kuingiliwaKulikuwa na purukushani yoyote? Kwanini walipiga risasi juu?
Ahahaaa anaharibu wasije wakamfanyia mbaya kaka yetu MO maana wanapenda kwenda kinyume na Dada aDada wa taifa nae atulie kwanza bana eboo!
Sure hata ongea yake inaonyesha ukarimuMe...nasikia ni mhindi lkn ana roho ya kizungu jamaa!
Ngoja tuone mkuu.. Hivi kwanini sehemu Kama Masaki hamna security cameras?? Au Dar Kwa ujumla?
Aiseeeata ukiwa pesa na ukaweka taa dar nzima, wiki ijayo ujenzi wa flyover nyingine ukianza security camera zako zote zitatolewa.. maendeleo inabidi yawe ya pamoja!
Bado ajapatikana mkuuMsituletee hadhiti za kitoto hapa.
Tuambieni amepatikana wapi na ni nani aliemteka na alikua/ walikua wanataka nini na waliagizwa na nani?
Sio "amepatikana, amepatikana" nyambaff
Nimekuja kushangaa mbeleni mkuu wamekanusha wakati zilienea kama moto wa kifuu kuwa amepatikanaBado ajapatikana mkuu
Hivi unajua kutegewa kitu hukijui mkuu au?....hata angekuwa na walinzi angetekwa tuuNawaza tu hakuwa na walinzi?.
Toka nipewe trophy point 200 najiona tajir sana ...Inafikia stage flan huhitaji kujichanganya sana ma watu ndio mambo kama hayoo sasa yametokea
Ndo hicho nachokiogopa!Ahahaaa anaharibu wasije wakamfanyia mbaya kaka yetu MO maana wanapenda kwenda kinyume na Dada a
Yupo poa sana jamaa plus hana makuu.Sure hata ongea yake inaonyesha ukarimu
Hawa wahuni, wanabebwa na mkuu. Wanateka wafanyabiasharaLe mutuz anasema hawezi kupatikana mpaka watimize lengo lao kwanza ingawa Sinema imechezwa vibaya
Sana...utadhani sio mhindiSure hata ongea yake inaonyesha ukarimu
Ni kweli kabisa, Ni lazima sisi tuseme kadri tunavyoweza, Polisi wa nchi hii habari kama hii tungeisikia kutoka kwao kesho na si leo, yawezekana wao ndio suspect sasa wanajifanya wanafuatilia, Nape alitishiwa bunduki mjini na mchana kweupe, Polisi wakasema wameshindwa kumtambua aliyemtishia, tuna Polisi hapa au maigizo ?. Umesahau ya Ulimboka, Polisi walisema nini ?Habari nzito kama hii,abgekuwa nani ndo ingekuwa nyepesi?
Zakaria taarifa yake ilitolewa na polisi?
Ya Roma mkatoliki ilitolewa na Polisi?
Ya Masoud kipanya ilitolewa na Polisi?
Ya Ben saa nane ilitolewa na polisi?
Ya Tundu Lissu ilitolewa na polisi?
Ya Hussein Bashe na Msukuma Dodoma ilitolewa na Polisi???
Nguvu ya social networks ni kubwa sana,kama kila habari ingesubiriwa kutolewa na polisi,hasa habari kama hizi,basi yote hayo hapo juu,kamwe tusingeweza kuyajua!!!
hujasikia walokimbia. Kazi kwishneyila biashara ya makampuni ya ulinzi.. its there time.. msiba wa mtu, sherehe kwa mwingine!
Sasa Huo Ukivuli Wake Una Msaada Gani Kwenye Hili? Au Ndio Kutaka Sifa?Waziri mwenye dhamanaView attachment 894256
Ahh noma sana huyu mtuUnajua lakini Paul anavyopenda Media
Wavulana Wa Kipindi Hiki Mnashida SanaHawa wahuni, wanabebwa na mkuu. Wanateka wafanyabiashara
wanawalazimisha watoe hela ndefu. Mfano tajiri zacharia wa msoma.
Nasikia Ruge na Sigh. Wamelazimshwa watoe mpunga wamegoma.
Sasa sijui hela ya kununa wapinzani imeisha au hela ya sgr imekata???