Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Ngoja tuone mkuu.. Hivi kwanini sehemu Kama Masaki hamna security cameras?? Au Dar Kwa ujumla?

ata ukiwa pesa na ukaweka taa dar nzima, wiki ijayo ujenzi wa flyover nyingine ukianza security camera zako zote zitatolewa.. maendeleo inabidi yawe ya pamoja!
 
Le mutuz anasema hawezi kupatikana mpaka watimize lengo lao kwanza ingawa Sinema imechezwa vibaya
Hawa wahuni, wanabebwa na mkuu. Wanateka wafanyabiashara
wanawalazimisha watoe hela ndefu. Mfano tajiri zacharia wa msoma.

Nasikia Ruge na Sigh. Wamelazimshwa watoe mpunga wamegoma.

Sasa sijui hela ya kununa wapinzani imeisha au hela ya sgr imekata???
 
Habari nzito kama hii,abgekuwa nani ndo ingekuwa nyepesi?

Zakaria taarifa yake ilitolewa na polisi?

Ya Roma mkatoliki ilitolewa na Polisi?

Ya Masoud kipanya ilitolewa na Polisi?

Ya Ben saa nane ilitolewa na polisi?
Ya Tundu Lissu ilitolewa na polisi?

Ya Hussein Bashe na Msukuma Dodoma ilitolewa na Polisi???

Nguvu ya social networks ni kubwa sana,kama kila habari ingesubiriwa kutolewa na polisi,hasa habari kama hizi,basi yote hayo hapo juu,kamwe tusingeweza kuyajua!!!
Ni kweli kabisa, Ni lazima sisi tuseme kadri tunavyoweza, Polisi wa nchi hii habari kama hii tungeisikia kutoka kwao kesho na si leo, yawezekana wao ndio suspect sasa wanajifanya wanafuatilia, Nape alitishiwa bunduki mjini na mchana kweupe, Polisi wakasema wameshindwa kumtambua aliyemtishia, tuna Polisi hapa au maigizo ?. Umesahau ya Ulimboka, Polisi walisema nini ?
 
Hawa wahuni, wanabebwa na mkuu. Wanateka wafanyabiashara
wanawalazimisha watoe hela ndefu. Mfano tajiri zacharia wa msoma.

Nasikia Ruge na Sigh. Wamelazimshwa watoe mpunga wamegoma.

Sasa sijui hela ya kununa wapinzani imeisha au hela ya sgr imekata???
Wavulana Wa Kipindi Hiki Mnashida Sana
 
Back
Top Bottom