Alianza drs la kwanza akiwa na miaka 5 It is possible!Mtu azaliwe 1975, shule ya msingi amalize 1986, yaani alimaliza elimu ya msingi akiwa na miaka 11? Hiyo sio elimu ya Tanzania na haiwezi kuwa elimu ya msingi ya miaka 7.
Vv
Mkuu jamaa amekujibu vizuri kabisa kwamba wewe kutokujua aliko Ben Saa8 hakumaanishi jeshi halijui aliko na hawana haja ya kuprove kwako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unacheza na bullet wewe[emoji23] [emoji23] ...hata sterling akitekwaga anakuwa mdogo balaa!
Labda awe mtekaji mmoja lkn kuanzia wawili na wana miguu ya kuku...huchomokiWeeee mtu akiwa amefanya gun point na upo nae close mbona unampa za uso na unamnyang'anya kabisa silaha,jeshin wanapewa mbinu za kupambana na mtu mwemye silaha ya moto, vivyo hivyo kareti unafundishwa kumkabili mtu mwenye silaha...
Alipoitaja Simba ndipo alipoteleza kidogo, sasa hivi sio wakati wa kuwaingiza mashabiki wa simba kwenye hili, tunatakiwa sote tumtafunte mwenzetu bila kujali Simba na Yanga.Bashite anatengeneza filamu
Huko Arusha wamemteka kada wa Chadema jumamosi iliyopita na hajapatikana jana jioni, matukio haya bado yapo sana mkuuKama walipumzika kidogo
Sio mmoja..na lengo la watekaji sio kuua..ila ukiingilia mission unakula chuma...ata wenyewe martial arts wanazijua...at a ukiwa unajua ile michezo usiingilie yasiyokuhusu man..Weeee mtu akiwa amefanya gun point na upo nae close mbona unampa za uso na unamnyang'anya kabisa silaha,jeshin wanapewa mbinu za kupambana na mtu mwemye silaha ya moto, vivyo hivyo kareti unafundishwa kumkabili mtu mwenye silaha...
Wanajulikana sasa ni kisanduku yule jamaa aliyemtolea bunduki Nape pia wengine walipigwa Risasi na mfanyabiashara kule Tarime MaraTANZANIA nchi yangu nini iki cha watu wasiojulikana kuteka watu. EHE MUNGU tunakuomba utufunulie kuwajuwa watu hawa.
Usiishie kuwaza lete mabadilikoNawaza sana
Ha ha haaaaaaaaaUsiogope kutekwa ogopa baada ya kutekwa watakufanya nini [emoji13] [emoji13]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mjinga sana huyu mbunge
Naskitika saana kuona wanaume malaya
Sasa hiyo historia yake imewekwa ya nini kama sio tuisome? Ingewekwa tu taarifa ya kutekwa kwa Mo bila historia yake, tungesoma hiyo pekee.Naona umesoma kwa makini ili upate pa kupinga. any way mada ya leo ni kutekwa kwa Mo. Hayo mengine tafadhar achana nayo tu.
Sijui hawa watekaji wamejiamini kumteka mtu maarufu kama yule tenda kwenye jiji lenye ulinzi mkali kama Dar.Labda awe mtekaji mmoja lkn kuanzia wawili na wana miguu ya kuku...huchomoki
Unamaanisha nini mkuu,au mtani ndie kafanya haya au??Wanataka SIMBA yetu isichukue Ubingwa!
Imagine jamaa hata uoga hawana ...!!!View attachment habarizote___BR-zJrHB_g5___.mp4View attachment 894335Asante sana, sisi tuko mikoani ila tulisikia kwamba ilikuwa mchana kweupe na ni katikati ya Mji, kumbe kulikuwa na kamera karibu !!!