Ujinga wa bashite always hujidhiirisha hata ajitahidi ku edit vipi mapicha yake bado utaonekana crystal clear [emoji23][emoji23]Mbona tweet ya mwananchi official ilisema kabisa msaidizi wa RPC kathibitisha MO kapatikana?
Hivi sasa hiyo tweet inaonekana wameifuta ila kwa Mange Instagram ipo.
Wamejichanganya wenyewe.
Hili ndilo kosa linalofanywa na watanzania wengi kwa kukosa Uzalendo, Mambo kama haya yalipomtokea Roma, yakamtokea Ben Saanane, yakamtokea, Lissu, yakamtojea Daudi John wa kata ya Hananasif kindoni na yakawatokea wengine wengi yeye Billionea Mo alifanya nini, je alikemea japo kwa maneno tu? Alijiona yuko salama na kwamba hayamuhusu.Alijiamini nadhani alijiina kwa sababu hana makandokando kwa akajiona yupo salama.
Ndio mkuuHahaha upo serious mkuu?
We ulitaka amwamini mke wako anayekusaliti!?Bado unamuamini da'Mange? Hide my ID please.
Mbona walimkamata Zacharia?? TISS ndio wanaofanya wasieleweke ktk jamii.Watanzania wengi hamjielewi, hili ni jukumu la Polisi kumpata Mo na kuwakamata watekaji.
Kazi ya Tiss ni kutowa information kabla ya tukio kutokea, Tiss hawana power of arrest
By the way Makonda ndio mwenye uwezo wa kumpata Mo alipo, narudia Makonda akamatwe mara moja kama kweli jeshi la Polisi linajitambuwa.
Na hivyo ulivyosema ni ukweli kwa 90%Hakuna hapo kuna mchezo unachezwa. Haiingii akilini kuwa ametekwa, huenda kuna mpango unafanywa juu ya mtu fulani, I'll ikitokea watu tujue aaah kawaida, mbona MO nae alitekwa!! Lakini hakuna siri chini ya jua kila kitu kitakuwa peupe muda sio mrefu. La tatu kwanini MO anaishi maisha ya aina hiyo? Hivi kweli yeye hajijui kuwa na Tycoon, au anazani kuishi hivyo ndio kutamfanya apendwe? Lazima aamue kuishi tofauti kabisa, tena tofauti sana. Haiwezekanj MO akashindwa kuwa na fitness Center kwenye kasri lake, ok hana. Basi haiwezekani akawa hana bodyguard anapotoka ndani ya viunga vya kasri lake, jamani MO ni nembo ya taiga letu.
Natoa angalizo kwa wanaofanya huu mchezo, wanaliangamiza taifa. Wasidhanie ni suala dogo, hakuna wawekezaji watakaokuja Tanzania kuwekeza na hata wakija watakuja vibaraka wao.
Ni nani aneapanga ujinga huu, na kwanini wanamchekea? Baba wa Taifa alisema, ukizoea kula nyama ya watu, hautaacha. Wamezoea kuwateka akina Ben Sanane, Dr Ulimboka na wengine kuwaua kabisa, sasa dhambi inatamalaki wameanza kutekena wenyewe kwa wenyewe. Amini nakuambia kila kitu kitakuwa wazi, huenda wamemtaka kwa kumtisha ili aisaidie kifedha jamii , taasisi au kikundi cha watu fulani itajulikana. Sitaki kwenda mbali sana, ila anaepanga huu mchezo, lazima akamatwe ashtakiwe na kufungwa. Labda tu kama kuna baraka ya Mungu. Acha tu niingie mtaani kutafuta riziki ya kila siku.
Hayo ya time will tell ndo yanayoua nchi yetu. Anauawa mtu tunaishia time will tellTime will tell
Maliyamungu bashite??Brigadier Isaac Maliyamungu
Isaac Maliyamungu was one of Idi Amin's most evil and feared Lieutenant who was in charge of quelling dissent in the army.
Before he joined the army, he had been a mere gatekeeper at Nyanza Textile Industries. At the time of the coup, he commandeered a tank with which he shot up the entrance to the Entebbe airport terminal, killing two priests.
After the coup he headed Amin's execution gangs, with unlimited power to execute anybody in the army, even officers senior to him. His modes of execution were as atrocious as anything imaginable. He was fond of disemboweling his victims.
Along with several other officers, he is known to have executed his victims by having them run over by tank. But perhaps the grisliest episode concerned Francis Walugembe, who had previously been Mayor of Masaka.
In September 1972, Walugembe was arrested, had his genitals cut off and was paraded through the streets before being killed and dismembered.
So violent and brutal was Malyamungu that even Amin once admitted fearing him believing he was going mad.
Badoooooooo[emoji22] [emoji22] [emoji22]Jamani Mo vipi bado?movie za serious hivi sio nzuri jamani
Kwa wataalamu wenyewe mpaka muda huu hata hizo CCTV camera zimeshaingiliwa.Wawahi CCTV camera za hapo Colosseum mapema kucheki tukio zima
Ukiangalia mdomo wa ile kitu,then kidole kipo kwenye kifyatulio,lazima ujidogodishe tu!Unacheza na bullet wewe[emoji23] [emoji23] ...hata sterling akitekwaga anakuwa mdogo balaa!
Habari nzito kama hii,abgekuwa nani ndo ingekuwa nyepesi?
Zakaria taarifa yake ilitolewa na polisi?
Ya Roma mkatoliki ilitolewa na Polisi?
Ya Masoud kipanya ilitolewa na Polisi?
Ya Ben saa nane ilitolewa na polisi?
Ya Tundu Lissu ilitolewa na polisi?
Ya Hussein Bashe na Msukuma Dodoma ilitolewa na Polisi???
Nguvu ya social networks ni kubwa sana,kama kila habari ingesubiriwa kutolewa na polisi,hasa habari kama hizi,basi yote hayo hapo juu,kamwe tusingeweza kuyajua!!!
Kwani haujamsikia Mambo Sasa? Si kashasema Camera hazijanasa tukio #KiKi_Kwa_pikipiki....Akili Kumkichwa ukilemaa unaachwa ferry STUKA.Kwa wataalamu wenyewe mpaka muda huu hata hizo CCTV camera zimeshaingiliwa.
Hapana, mke wako anayejiuza.We ulitaka amwamini mke wako anayekusaliti!?
Duh sa hizo cctv ni za nn sasa kama zinashindwa kunasa kila anaeingia na kutoka au kila anaesogelea jengo husika!?Kwani haujamsikia Mambo Sasa? Si kashasema Camera hazijanasa tukio #KiKi_Kwa_pikipiki....Akili Kumkichwa ukilemaa unaachwa ferry STUKA.
Ile hainaga kuremba ikifyatuliwa u gone nothing more[emoji15]Ukiangalia mdomo wa ile kitu,then kidole kipo kwenye kifyatulio,lazima ujidogodishe tu!